Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Basi inaonekana uwepo wake unawanyiwa makombe. Ngoja nisubiri mwisho wa msimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
hakika ndugu uwepo wake umeijenga Chelsea tunayoiona sasa tangua ajiunge ukizingatia akiwa ndio bilionea namba moja EPL..

kuna mengi mazuri kawanfanyia hongereni sana, kupitia yeye wamekuja wawekezaji wengine tunawaona leo kwenye EPL na kuzidi kuifanya kua ligi inayotazamwa zaidi duniani...

kukosa uvimilivu na makocha tu ndio hua inanichosha japo ni falsafa yake ni ushindi ushindi wa makombe na si kingine...

sawa tusubiri jamaa wa Ethad watakibidhi kombe letu la EPL Mei 2019
 
Umetumia nguvu nyingi kuandika kitu ambacho ungetumia mistari michache ungeeleweka zaidi...sitafuti umaarufu Wala chochote unachohisi ewew nilichoandika ndio mawazo yangu binafsi...Kuna tofauti kujua na kujifanya unajua.wewe unajifanya unajua ndio maana unaziona hizo weakness za huyo VVD,ambazo mm nisiejua chochote sijaziona na Wala siwezi kuzitafuta ili nikuaminishe kuwa najua kuchambua soka...
Endelea na ujuaji wako mkuu na mm ntaendelea na ushabiki wangu wa Liverpool...

NB: naisupport Liverpool katika Hali zote kukusoa saaana ni kuwatoa wachezaji mchezoni ligi kubwa na yenye ushindani Kama epl hasa kipind Cha kuelekea mwisho was msimu huwa ni ngumu ukitaka kila siku upate matokeo unayotaka ewew tu na kubet kwako labda utengeneze ligi na timu zako ila sio kwa epl,an yes nampenda klopp maana kaleta mapinduz na timu imekuwa inaushindani ndani na nje an ofcos ntaumia akitoka ndio mawazo yangu hayo...

Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe wachezaji wa Liverpool wanasoma maoni yetu JF jamani tupunguze tunawatoa mchezoni. Ngoja niende msibani... Pia mzee wetu Karudi nyumbani, mambo mengi mda sasa......
 
Umenena vyema kabisa mkuu. Timu yako ni kubwa sana kutokana na historia iliyojijengea huko nyuma. Timu zote zinashindana ili kupata makombe, miaka miwili inavumilika ila inapotokea miaka minne hamna kitu kocha havumiliki huyo ni heri tuanze upya kupata changamoto nyingine. Hiki ndicho ninachoipendea Chelsea.
hakika ndugu uwepo wake umeijenga Chelsea tunayoiona sasa tangua ajiunge ukizingatia akiwa ndio bilionea namba moja EPL..

kuna mengi mazuri kawanfanyia hongereni sana, kupitia yeye wamekuja wawekezaji wengine tunawaona leo kwenye EPL na kuzidi kuifanya kua ligi inayotazamwa zaidi duniani...

kukosa uvimilivu na makocha tu ndio hua inanichosha japo ni falsafa yake ni ushindi ushindi wa makombe na si kingine...

sawa tusubiri jamaa wa Ethad watakibidhi kombe letu la EPL Mei 2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena vyema kabisa mkuu. Timu yako ni kubwa sana kutokana na historia iliyojijengea huko nyuma. Timu zote zinashindana ili kupata makombe, miaka miwili inavumilika ila inapotokea miaka minne hamna kitu kocha havumiliki huyo ni heri tuanze upya kupata changamoto nyingine. Hiki ndicho ninachoipendea Chelsea.

Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa ndugu asikwambie mtu inauma hakuna mfano kukaa kipindi hiki chote bila ubingwa wa EPL

Uedeshangi wa Chelsi ni Liverpool upo tofauti sana pengine pia kutokana na wamiliki na historia ya timu..

ni ngumu sana kuona kocha akae Chelsi bila kombe na avumiliwe misimu miwili huku akipewa bajeti ya kununua wachezaji anaohitaji..kwa hapo tu nawapa big up n i wish na sisi tungekopi hii falsafa naamini mpaka sasa tungeshachukua EPL tangu 2003 mpaka sasa..maana kocha anaajiliwa anasema nileteeni wachezaji hawa na hawa uzeni siwataki sasa hapo akikosa kuleta mafanikio anakua jipu..

Wamiliki wetu japo wanampa sapoti Klopp kwa kununua wachezaji anaohitaji ila huwezi kuwalinganisha na Roman..Roman yeye ni mpira pesa zaidi..na ndio maana chini yake mmeweza kuchukua EPL 5 na mengine zaidi..

wakati Roman akiwa namba moja Bilionea anaemiliki timu EPL hawa wakwetu wapo nafasi ya tisa au kumi..
 
MAONI YANGU BINAFSI:
Kwenye ligi ya Uingereza mwishoni mwa msimu huwa hakuna mechi nyepesi wala timu rahisi..!
Tegemea timu yako kudondosha points kwenye mechi usiyoitarajia...
Man City atadondosha points na Liverpool atadondosha points...
Atakayedondosha points chache kati yao ndiye atakayekua bingwa..!
Ila kuna uwezekano mkubwa wa Man City kudondosha points nyingi zaidi kutokana na kuwapoteza Fernandinho na Laporte..!
Citi kukosa hao wachezaji wawili Fernandihtho, Laporte na kutakua na beki wa kushoto wa kueleweka kutawa cost sana msimu huu..

Na Fernanditho hua anasaidia sana kupoza mashambulizi timu inavyoshambuliwa anajua wapi asimame kwa kweli ni pigo..

Laporte tangu ajiunge na Citi amewafanya kua ngumu sana kuwafunga ni moja ya beki bora kabisa EPL..

Sasa ni kazi kwetu Majogoo kupambana na hali zetu mpaka mwisho wa msimu kujikisanyia pointi za kutosha ili hatimae tuchukue EPL kwa shangwe..

Endapo Firmino akipona mapema na Ox akarejea na kasi ileeee na bila kupata majeraha mapya basi naona njia ya ubingwa kuja kwetu..
 
kabisa ndugu asikwambie mtu inauma hakuna mfano kukaa kipindi hiki chote bila ubingwa wa EPL

Uedeshangi wa Chelsi ni Liverpool upo tofauti sana pengine pia kutokana na wamiliki na historia ya timu..

ni ngumu sana kuona kocha akae Chelsi bila kombe na avumiliwe misimu miwili huku akipewa bajeti ya kununua wachezaji anaohitaji..kwa hapo tu nawapa big up n i wish na sisi tungekopi hii falsafa naamini mpaka sasa tungeshachukua EPL tangu 2003 mpaka sasa..maana kocha anaajiliwa anasema nileteeni wachezaji hawa na hawa uzeni siwataki sasa hapo akikosa kuleta mafanikio anakua jipu..

Wamiliki wetu japo wanampa sapoti Klopp kwa kununua wachezaji anaohitaji ila huwezi kuwalinganisha na Roman..Roman yeye ni mpira pesa zaidi..na ndio maana chini yake mmeweza kuchukua EPL 5 na mengine zaidi..

wakati Roman akiwa namba moja Bilionea anaemiliki timu EPL hawa wakwetu wapo nafasi ya tisa au kumi..
Mkuu pamoja na hayo ila huu mfumo kwangu unaniudhi sana. Unaweza kuta timu inafanya usajili mzuri na makombe inachukua ila tatizo lake ni pale timu inakosa consinsitency. Yan kwa mfano msimu wa Conte timu ilikua moto sana tukachukua EPL lakini angalia kilichokuja kutokea msimu uliofuata yan utafikiri siyo bingwa mtetezi. Hiyo inatokana na wachezaji kutumika sana na kutumia nguvu nyingi msimu uliopita wakati wanachukua EPL. Lakini angalia Pep anavyoleta changamoto kama bingwa mtetezi kwa sababu kikosi chake ni kipana.

Sometimes naona bora falsafa ya kuwa na kocha mmoja akaijenga timu na kutengeneza timu ya ushindani walau kwa miaka minne timu inakua inasumbua. Falsafa yenu iko poa ikiwa mipango ikaenda safi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Citi kukosa hao wachezaji wawili Fernandihtho, Laporte na kutakua na beki wa kushoto wa kueleweka kutawa cost sana msimu huu..

Na Fernanditho hua anasaidia sana kupoza mashambulizi timu inavyoshambuliwa anajua wapi asimame kwa kweli ni pigo..

Laporte tangu ajiunge na Citi amewafanya kua ngumu sana kuwafunga ni moja ya beki bora kabisa EPL..

Sasa ni kazi kwetu Majogoo kupambana na hali zetu mpaka mwisho wa msimu kujikisanyia pointi za kutosha ili hatimae tuchukue EPL kwa shangwe..

Endapo Firmino akipona mapema na Ox akarejea na kasi ileeee na bila kupata majeraha mapya basi naona njia ya ubingwa kuja kwetu..
Anyways...sijui...lakini kwa upande wangu mimi nipo kwenye mtazamo kuwa hatutegemei City wadondoshe points ili tuwe mabingwa...hatutegemei uzima au majeraha ya Fernandinho...hatutegemei uwepo au kutokuwepo kwa Laporte...Firmino kurudi au kutokurudi...Ox kupona pia bado sio factor kuwa mabingwa...

Ni kila mechi Klopp kuja na plan ya ushindi kwa kutumia wachezaji sahihi kwenye position sahihi....ni Klopp kufanya maamuzi sahihi nani atoke aingie nani muda gani....ni Klopp kuamua vizuri atumie mfumo upi na sahihi kwa wachezaji sahihi kulingana na opponent anayekutana nae...ni Klopp....

Kama hafanyi sahihi hivyo vitu hata man city wakose wachezaji muhimu haitosaidia...hata Ox na Bobby wakiwa fit haitasaidia...watadrop nasi tutadrop...tutapoteza na watashinda.Bado mimi naamini ubingwa upo kwenye maamuzi ya Klopp mwenyewe...sijui lakini
 
Anyways...sijui...lakini kwa upande wangu mimi nipo kwenye mtazamo kuwa hatutegemei City wadondoshe points ili tuwe mabingwa...hatutegemei uzima au majeraha ya Fernandinho...hatutegemei uwepo au kutokuwepo kwa Laporte...Firmino kurudi au kutokurudi...Ox kupona pia bado sio factor kuwa mabingwa...

Ni kila mechi Klopp kuja na plan ya ushindi kwa kutumia wachezaji sahihi kwenye position sahihi....ni Klopp kufanya maamuzi sahihi nani atoke aingie nani muda gani....ni Klopp kuamua vizuri atumie mfumo upi na sahihi kwa wachezaji sahihi kulingana na opponent anayekutana nae...ni Klopp....

Kama hafanyi sahihi hivyo vitu hata man city wakose wachezaji muhimu haitosaidia...hata Ox na Bobby wakiwa fit haitasaidia...watadrop nasi tutadrop...tutapoteza na watashinda.Bado mimi naamini ubingwa upo kwenye maamuzi ya Klopp mwenyewe...sijui lakini
Ni kweli bro.

kila mtu ashinde mechi zake.

Ila kisoka lazima wa juu apoteze ili wa chini apande na wa chini apoteze ili wa juu uendelee kua juu.

Lets focus on our games only,.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pamoja na hayo ila huu mfumo kwangu unaniudhi sana. Unaweza kuta timu inafanya usajili mzuri na makombe inachukua ila tatizo lake ni pale timu inakosa consinsitency. Yan kwa mfano msimu wa Conte timu ilikua moto sana tukachukua EPL lakini angalia kilichokuja kutokea msimu uliofuata yan utafikiri siyo bingwa mtetezi. Hiyo inatokana na wachezaji kutumika sana na kutumia nguvu nyingi msimu uliopita wakati wanachukua EPL. Lakini angalia Pep anavyoleta changamoto kama bingwa mtetezi kwa sababu kikosi chake ni kipana.

Sometimes naona bora falsafa ya kuwa na kocha mmoja akaijenga timu na kutengeneza timu ya ushindani walau kwa miaka minne timu inakua inasumbua. Falsafa yenu iko poa ikiwa mipango ikaenda safi.

Sent using Jamii Forums mobile app
ni dhahiri Conte kumkosa straika aina wa Costa kulimgharimu sana darajani...

kwa mfumo wa Conte lazima awena straika aina ya Costa ambae pale hapoi..

kuhusu wachezaji kutumika na kuchoka hilo ni tatizo kuu...unamkumbuka Moses alivyokua moto kama Wingback na Alonso kipindi mnachukua ubingwa walikua hataree na timu yote kuanzia mbele nyuma ilikua compact...

kwa sasa mimi binafsi naona huyu babu mbishi kumng'ang'ania Jorginho wakati nafasi ile ukampe Kante matokeo mnayajua, Jorginho ndio weak link ya Chelsea kwa sasa na ni kama timu pinzani zimeshajua na kulifanyia kazi..

Kingine ni kama wachezaji Chelsea wanasikilizwa kuliko kocha, japo sina ushabidi lakini kama ni kweli ipo shinda...kuna siku Chelsea wanacheza vizuri kabisa mpaka unajiuliza hivi kwenye mbio za ubingwa walipotelea wapi...Murinyo alichukua ubingwa msimu uliofuata waka switch off sijui ni ishu ya yule dokta..Conte nae hivyo wali switch off ishu nadhani ugzomvi na Costa

Kuhusu aina ya ukocha na ufanyaji kazi wa Pep hata mimi nakumbali ndio njia sahihi, yaani kocha anapewa timu na kutoa mpango kazi kwa msimu wa kwanza tutakua hapa wa pili hivi na wa tatu hivi..kwa mfano huyu wa kwetu alisema msimu wa nne atakua na kikosi cha kuchukua EPL well tym il tell.

kuhusu kikosi kipana ndugu lol hapo ni Manciti tu wenye kocha mwenye mahesabu hayo huku kwingine kote tia maji maji...ukitazama benchi za Liverpool na nafasi ilipo kwenye msimamo wa Ligi bila shaka utasema bahati tunayo kabisaaaa...japo kwetu siamini kama kocha aliambiwa asiwauze hawa deadwoods au la ila ukweli wanachosha maana hawana impact ya kuleta matokea uwanjani kama 1st 11.

Kwa Pep kikosi chake hua ni ngumu hata kujua hana beki wa kushoto tangu Mendy aumie maana wanachaguliwa wanakua na consistency n game plan ya kusaidia upande huo inakuwepo..akitoka Sane anaingia Mahrez, akitoka Bernado anaingia Silva, akitoka De anaingia Ikay, akitoak Aguero anaingia Jesus yaani ni kata mti panda mti...

kilichobakia na kupambana tu ndugu yangu nakuona msimu ukiisha tutakua tumesimamia wapi.
 
Key Points:
  • Liverpool's Fans wanafurahia majeruhi ya Fernandinho na Laporte
  • Liverpool's Fans sasa only Wanatarajia Ubingwa Kwa Man City kupoteza mchezo au Kudraw na sio kwa wao wenyewe Kushinda Mechi zao.
  • Liverpool's Fans wameconcentrate zaidi kwa Man City kudondosha Points kuliko wao kushinda michezo yao.
Mpaka hapo inaonesha wazi kuwa watu wanajilazimisha tu kujipa Matumaini ya Ubingwa lakini wamekata tamaa na timu yao katika kupambania ubingwa that is why tunataka ubingwa kupitia kwa Man City kudondosha points na si kwasisi kushinda mechi zetu.
 
Salah angepigwa benchi tu kwa hiki kiwango alichonacho sasa

Nikireview alivyomiliki mpira vizuri pale Fiorentina nashindwa kukubali kuwa ndie Salah huyu huyu
 
Anyways...sijui...lakini kwa upande wangu mimi nipo kwenye mtazamo kuwa hatutegemei City wadondoshe points ili tuwe mabingwa...hatutegemei uzima au majeraha ya Fernandinho...hatutegemei uwepo au kutokuwepo kwa Laporte...Firmino kurudi au kutokurudi...Ox kupona pia bado sio factor kuwa mabingwa...

Ni kila mechi Klopp kuja na plan ya ushindi kwa kutumia wachezaji sahihi kwenye position sahihi....ni Klopp kufanya maamuzi sahihi nani atoke aingie nani muda gani....ni Klopp kuamua vizuri atumie mfumo upi na sahihi kwa wachezaji sahihi kulingana na opponent anayekutana nae...ni Klopp....

Kama hafanyi sahihi hivyo vitu hata man city wakose wachezaji muhimu haitosaidia...hata Ox na Bobby wakiwa fit haitasaidia...watadrop nasi tutadrop...tutapoteza na watashinda.Bado mimi naamini ubingwa upo kwenye maamuzi ya Klopp mwenyewe...sijui lakini

Upo sahihi ndugu Klopp ndio atatupa ubingwa au kutunyima ubingwa kwa upangaji wa kikosi na mfumi husika kwa mpinzani tunaekutana..hili nalo nasema dhahiri kocha anazingua sometimes kwa mfano anapanga 4 3 3 aafu anamuweka RB Milie na mbele yake kati yupo Henderson itakua ajabu kuodaka na pointi 3...

ili mfumo husika ulete pointi lazima uwe na wachezaji wanauelewa huo mfumo na moja ya sifa ya Firmino huyu unaemsema ni kwamba yupo flexible kuunganisha pale mbele, na kuumia kwake hata Klopp kumemfanya abidili ngia angani na kumchezesha Mane kama straika wa kati..hivyo pointi yako ya kutumika wachezaji wazima ni sahihi kabisa na hata ushindi wa Watford ulipatikana kwa staili hio..

tutakua vipofu kutegemea Citi apoteze mechi zake huku sisi bila kupambana kushinda zetuu

inapotokea mbio za ubingwa kwa utofauti wa pointi kama huu wa sasa basi mashabiki wao wanawaziana mambaya tu fulani aumie wapoteana na kadhalika ndio mpira ulivyo,sidhani kama yupo shabiki wa Manciti atahuzunika kuumia kwa Firmino wao watasema aa bila bobby hawa watapoteana pale mbele n.k vile vile twasema bila Laporte ni hivyo hivyo sasa kazi kwa makocha husika kufanya yao kuziba pengo n.k...

binafsi natarajia tushinde mechi zetu mpaka mwisho wa msimu endapo wao Citi watapoteza au ku draw basi inakua ni advantage kwetu na sio deciding factor kama wenyewe tutakua tunapoteza..YNWA
 
Key Points:
  • Liverpool's Fans wanafurahia majeruhi ya Fernandinho na Laporte
  • Liverpool's Fans sasa only Wanatarajia Ubingwa Kwa Man City kupoteza mchezo au Kudraw na so kwa wao wenyewe Kushinda Mechi zao.
  • Liverpool'Fans wameconcentrate zaidi kwa Man City kudondosha Points kuliko wao kushinda michezo yao.
Mpaka hapo inaonesha wazi kuwa watu wanajilazimisha tu kujipa Matumaini ya Ubingwa lakini wamekata tamaa na timu yao katika kupambania ubingwa that is why tunataka ubingwa kupitia kwa Man City kudondosha points na si kwasisi kushinda mechi zetu.
Duu kweli noma sanaaa...adui yako muombee njaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom