Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Let's wait till Half time to see what the hell will happen between Bournemouth vs Man City
 
First Half we got what we want!!
But Second Half no one know what will happen
 
First Half we got what we want!!
But Second Half no one know what will happen

Football gods want us to win it this year, hizi majeruhi siyo bure kabisa.

KDB is out, we don't know yet how serious it is, but it is a matter of concern.

Tunatakiwa kujibeba, I know we have injuries as well lakini they are not as serious as theirs.
 
Sina Mashaka hata kidogo na Defence yetu ingawa Kuna baadhi ya Washabiki Hawamuamini MATIP lakini kwa upande wangu Matip yupo bora katika Kucheza mpira na kuanza Mashambulizi kuliko hata VVD..

Pia katika Kukaba hajamfikia VVD lakini yupo vizuri kuliko Lovren

Mkuu matip yuko vizuri anajitahidi na yeye kutengeneza partnership Na vvd,

Ila matip sio bora kumzidi vvd,vvd akiwepo tu uwanjani forward zinaogopa.

Kama unafatilia vizuri msimu huu kwenye ligi Liverpool kafungwa goli moja tu la kichwa iwekona au setpices . Mipira yote ya kona au mipira yote ya juu ikipigwa vvd ndio anaeokoa na sio mwingine.

Ikitokeaga kona sinaga hata wasiwasi najua vvd ataokoa tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom