Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hivi kweli Jamhuri Kiwhelo wetu anavyoongoza timu kama Kigenge cha wauza Mitumba Mtu anayejua Mpira anaweza kusema mechi ya jana tungeshinda ndani ya OT??
Sasa ewew tokea 2013,una nn!!?blackban Leicester Kama kweli unaujua mpir hizo sio timu za kufananisha na Liverpool labda umfananishe na arsenal au Man City,mm kuwa na ongoza ligi mipango ya mda mrefu an sipo pale kibahati mbaya ndio maana nimekutoboa kwangu na kwako nimetoa draw,Kama huna haja ya top 4 mpe point city wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nilijua tunaongelea epl naona unakusanya vikombe vya mbuzi unaniwekea mbele,nimekuuliza2013 na ewew umeniuliza tokea 92,Sasa Europa sijui carabao ndio takataka gani!??Liverpool mbona mnatia huruma hivyo
Europa
Fa
Carabao
Hebu weka hapa na ww toka huo mwaka
Tatizo mashabiki wengi wa Liverpool wanashindwa kukubali ukweli kuwa ligi miaka yote kipind hiki huwa ni kigumu na hakuna ambaye mwanzo wa msimu alijua kuwa tungeweza kuwa wa kwanza mpaka kuukaribia mwezi wa tatu,kimsingi ni kupigana kila gemu inayokuja bila kuangalia matokeo ya wengine,kelele za watu chini zisitutoe kwenye ushabiki wa kweli na sisi kuanza kuhukumu,kwa kipind ambacho timu ipo vizur,wachezaji ni binadamu na wao miili huwa inabadilika huo ndio ukweli an lazima tujue ile ni epl,sio vpl...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nilijua tunaongelea epl naona unakusanya vikombe vya mbuzi unaniwekea mbele,nimekuuliza2013 na ewew umeniuliza tokea 92,Sasa Europa sijui carabao ndio takataka gani!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Bayern anafungika vizur tu hapo kwake na timu kibao zimeshawahi kuchukua point hapo Allianz arena,an kumbuka kloop huyohuyo akiwa Dortmund kaishawahi chukua point na ubingwa mbele ya huyo huyo bayern....Na Ndiyomana sikushangaa hapa kuona watu wanasema Tutamfunga Bayern Nyumbani Kwake
Halafu mtu anajiita Mshabiki anayejua mpira huyu! Umfunge Bayern kwenye ardhi yake???????? Labda asiwe kocha Klopp
Kuna suala la picnic za mwezi huu king ngwaba alizieleza kua hazinaga positive impact kwa timu yetu naanza kumuamini, after first picnic tumetoa sare katika crucial and highly important decisive games against leicester & west ham tukajiokotea bono tukamla vitatu then tukavimba kichwa tubadili location tukitoka huko tukiwashe matokeo yake consecutive sare katika mechi muhimu kweli kweli. Hii inaonesha haka kautaratibu kanapoteza rasilimali tu, napenda kusema kuanzia game na city away tumekua kama kmc tu yaani tunasubiri ndondokela ndo tupate matokeo
Hadi sasa hakuna match tunayoweza kusema tunaenda kushinda bila wasiwasi kwa takwimu za mwaka huu na aina ya upangaji kikosi wa kocha pamoja na mifumo yake.
kote hakufai
Kwa mtazamo wako boss,ila facts ni kwamba Liverpool ndio anaongoza ligi kwa point moja bado game 11,Ya Man City na kupasua anga ni yake na sijui anga gani mkuu unayoingelea hapaSasa sisi tusubiri miili iliyobadilika ikae sawa kwanza, tumuache PEP apasue anga huenda akatusubiri njiani huko mbeleni
kiongozi baba, naona sasa umeanza kutoka nje ya mstari... please don't go that Malafyale's mediocrity trip - i thought you were a lot better than that?Hivi kweli Jamhuri Kiwhelo wetu anavyoongoza timu kama Kigenge cha wauza Mitumba Mtu anayejua Mpira anaweza kusema mechi ya jana tungeshinda ndani ya OT??
Ahahaaah...
Watu wa aina yako huwa mnanichekesha sana aisee..!
Okay,let's say Man City atadondosha points kama unavyoamini..!
Vipi kuhusu timu unayoishabikia,itashinda mechi zote zilizobaki..?
Makombe yako yote unayotaja kasoro epl nimebeba tena kwa umataifa ndio umzidil lolote Liverpool,sana Sana utaleta porojo tu na tantalilaSiwezi kujadili na ww epl huna na huwezi kubeba na hujawahi nimekutajia makombe ya kipuuzi bado haumo
Makombe yako yote unayotaja kasoro epl nimebeba tena kwa umataifa ndio umzidil lolote Liverpool,sana Sana utaleta porojo tu na tantalila
Sent using Jamii Forums mobile app
Makombe yako yote unayotaja kasoro epl nimebeba tena kwa umataifa ndio umzidil lolote Liverpool,sana Sana utaleta porojo tu na tantalila
Sent using Jamii Forums mobile app
Makombe yako yote unayotaja kasoro epl nimebeba tena kwa umataifa ndio umzidil lolote Liverpool,sana Sana utaleta porojo tu na tantalila
Sent using Jamii Forums mobile app
kiongozi baba, naona sasa umeanza kutoka nje ya mstari... please don't go that Malafyale's mediocrity trip - i thought you were a lot better than that?
Sijawahi beba sababu tokea imerud kuwa FIFA club world cup nimeshiriki mwaka mmoja tu na nilicheza na Hiroshima,nimekuuliza ukitaja mafanikio kiujumla kimataifa ewew unanitaji kikombe kimojaWaambie mashabiki wenzio wa liverpool wakusaidie kama huko kimataifa una kombe la dunia ngazi ya vilabu na ulibeba lini