radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Wenzie wote wanaojua hatar inayokuja wamelala mbele kamebaki haka kujifariji hakajui kama looserfool huwa kama tembo juu ya mti
Ndo mana huoni tunazizungumzia kwa sababu hazina maana ila kwa mentality za ma looser kama nyie nne mnaona dhahabu
Huwezi kuzungumzia kitu usicho na uwezo nacho bwamdogo
Saiv levele zenu 5 kwenda chini huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mnazungumzia kuchukua ubingwa mkiwa out top 4, sawa mtachukuaRudi mwanzo nimekwambia press ya OGS jana kasema hatuna mentality za looserfool kuzungumzia nafasi za kipuuzi nne na tano united imejengwa kuchukua ubingwa ndo mana toka 92 makombe 13 ya epl yapo kabatin wewe je?
Naona mnazungumzia kuchukua ubingwa mkiwa out top 4, sawa mtachukua
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah Mkuu unatutukana sana basi imetoshaWenzio tukishakuwa nje ya nafasi ya pili tushafunga msimu huwa tumefeli looserfool mkipigania nafasi ya nne ni ubingwa ndo mana klopp mwaka wa nne hana kombe lolote na anapewa mkataba wakat huo upuuzi huukut chelsea wala united maana sio akili zetu na mwaka huu tena mnatoka kapa
Kaka acha nao kwetu ni mwiko kumsema mtu mgonjwa na mzee,unaweza pata laana hiyo man u ukiangalia ndani ya miaka mitano epl ni Zaid ya wagoonjwa ni wakuwaonea huruma tu kwa kweli,Kama mtu kashushwa toka nafasi moja juu na anashangilia Kuna haja gani ya kubishana nae ndugu yangu!!!Naona mnazungumzia kuchukua ubingwa mkiwa out top 4, sawa mtachukua
Sent using Jamii Forums mobile app
mh!! hujui zimemsaidia nini kweli?!!!Livakuku zimemsaidia nini?
mh!! hujui zimemsaidia nini kweli?!!!
Kaka acha nao kwetu ni mwiko kumsema mtu mgonjwa na mzee,unaweza pata laana hiyo man u ukiangalia ndani ya miaka mitano epl ni Zaid ya wagoonjwa ni wakuwaonea huruma tu kwa kweli,Kama mtu kashushwa toka nafasi moja juu na anashangilia Kuna haja gani ya kubishana nae ndugu yangu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah Mkuu unatutukana sana basi imetosha
Dah Mkuu unatutukana sana basi imetosha
Sasa ewew tokea 2013,una nn!!?blackban Leicester Kama kweli unaujua mpir hizo sio timu za kufananisha na Liverpool labda umfananishe na arsenal au Man City,mm kuwa na ongoza ligi mipango ya mda mrefu an sipo pale kibahati mbaya ndio maana nimekutoboa kwangu na kwako nimetoa draw,Kama huna haja ya top 4 mpe point city weweToka 92 huna kitu nani mgonjwa? Umezidiwa had na blakban + leicester city kuongoza ligi ni ubingwa?
Sasa ewew tokea 2013,una nn!!?blackban Leicester Kama kweli unaujua mpir hizo sio timu za kufananisha na Liverpool labda umfananishe na arsenal au Man City,mm kuwa na ongoza ligi mipango ya mda mrefu an sipo pale kibahati mbaya ndio maana nimekutoboa kwangu na kwako nimetoa draw,Kama huna haja ya top 4 mpe point city wewe
Sent using Jamii Forums mobile app