Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,528
- 70,390
Inaitwa 'No Salah'
Inaitwa 'No Salah'
unaota wewe sijui utaamka lini! OT looserpuuzi hatoki!Ndugu usiwe na shaka tulihitaji ushindi kama wa jana turudishe makali yetu yaliyotufanya kuongoza ligi mpaka sasa....
kuhusu Manure na Chelsi hao wanapigika vizuri, cha msingi ni wewe ushinde mechi zako wakti tunakutengenezea njia uingie top 4...
Chelsi na Manu futuhi kutawafunga midomo yao..
Tunaanza na psg j4.....tuna kaz ya kumlipa city fadhila kwa alichofanya kwa Arsenal na anachofanya kwa chelsea leo.nyie endeleeni tu kuota ni wiki tu sio mbali ukishachezea Traford 2 bila ndio utajua kidume nani
Timu zote za kutoka Manchester hazitafua dafu msimu huu..Tunaanza na psg j4.....tuna kaz ya kumlipa city fadhila kwa alichofanya kwa Arsenal na anachofanya kwa chelsea leo.
Keep your wordsTimu zote za kutoka Manchester hazitafua dafu msimu huu..
Sio makombe, siyo nafasi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu zote za kutoka Manchester hazitafua dafu msimu huu..
Sio makombe, siyo nafasi..
Sent using Jamii Forums mobile app
The African Prince! The man in form! 4 matches 4 goals! Unsung soulView attachment 1018753
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwanini akili yangu inamuamini Sana sadio mane kuliko Salah yaani kutoka moyoni anapocheza mane ninakuwa na amani kuliko Salah japo wote wapo poa...Ila naonaga Kama sadio hapewi heshima anayostaili..
NB:Neno langu sio Sheria
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa lkn kiukweli kwa pale mbele mane ndio engine..Tofauti ya Mane na Salah ni Kuwa Mane ni Inconsistency...
Kwamfano kabla ya Kufunga kwenye hii michezo 4 Mane alikuwa kama Katokea Bongo.
PSG ndio atawaasha ndotoni ni sisi tunakuja kuwapeleka Futuhi mazima...Tunaanza na psg j4.....tuna kaz ya kumlipa city fadhila kwa alichofanya kwa Arsenal na anachofanya kwa chelsea leo.
Mbona anataka kujifananisha na Moratta?
Zile Ndevu na Minywele Yake ya Shaggy ndiyo yanayofanya akajuilikana Nani Mchezaji na Nani Moratta.
Hawa totts hawa wa kimya kimya sana hawa watu
Kwani umeshawasahu hao? Mbona kila Msimu hao Tott ndiyo zao hizo kujifanya kiherehere