Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Natumai na Leo anamfunga man city 2

Sababu yangu ni ushabiki kazi yangu sasa ni kuombea mabaya tu kwa city & totts

Hata Mimi Moyoni Siamini Kama Arsenal anaweza Kumfunga au Kudraw na City pale ETIHAD lakini Siachi kuiombea Mabaya City ya Kupoteza au Kudraw na Arsenal leo.

Na Nina Kajiimani Kadogo kuwa City anaweza Kudraw leo.
 
Mkuu kweli tumekwisha yaani tunapiga ramli Aseno ampige Citi ili tupumue...

kabla ya mzunguko wa pili kuanza sikuwai kuwaza tutajikuta na hali hii..

hapa tutegemee muujiza kama ule wa Citi kufungwo na N.casto na si kingine.

Yadi katika jambo ninalolichukia katika maisha ya Soka ni hii kumpigia mtu Ramli kuwa eti tutegemee Apoteze ili tuongoze ligi!! Ridiculous..

Tunachotakiwa ni kuwa tushinde sisi wenyewe ili tuongoze ligi.. It doesn't matter kwa City kushinda au Kupoteza! Matokeo ya City sisi yasituhusu! Bali matokeo yetu tu ya kupambana ndiyo yatuhusu.
 
ili Klopp tumwelewe tena hii mechi ya OT sio ya kukosa kabisa kuchukua pointi 3 muhimu na hawa jamaa washiriki futuhi msimu ujao.

Klopp achukue 3Points pale OT? Lol!!

Hakuchukuwa kwa LVG na Mourinho waliokuwa wanasuasua aje achukue sasahivi ambapo bado wananguvu za soda.

Mimi naona tuende na Game plan ya draw tu.
 
Kwa masikitiko leo King Ngwaba kwa Mara ya Kwanza Naomba Mpinzani Wangu Man City apoteze mchezo ili tumuongoze kwa points nyingi zaidi.

Yani sasa sitegemei ubingwa kwa uwezo wa timu yangu kushinda, bali nategemea ubingwa kwa kufungwa City.
 
Kwa masikitiko leo King Ngwaba kwa Mara ya Kwanza Naomba Mpinzani Wangu Man City apoteze mchezo ili tumuongoze kwa points nyingi zaidi.

Yani sasa sitegemei ubingwa kwa uwezo wa timu yangu kushinda, bali nategemea ubingwa kwa kufungwa City.
Hakuna namna mkuu

Hili swala tumelitaka wenyewe.. its the only way left.. Ni gambling mpaka mwisho
 
Kwa masikitiko leo King Ngwaba kwa Mara ya Kwanza Naomba Mpinzani Wangu Man City apoteze mchezo ili tumuongoze kwa points nyingi zaidi.

Yani sasa sitegemei ubingwa kwa uwezo wa timu yangu kushinda, bali nategemea ubingwa kwa kufungwa City.

Maombi yetu pia yanakutana na wakati ngumu, unaweza ukaomba kweli ikatokea, je sisi tutashinda?

Maana nakumbuka siku ya Newcastle ilitokea halafu tukashindwa ku-exploit opportunity.
 
Hapa Hapa hatuongelei dini Bali tunaongelea mpira!

Kwenye dini ukiwa Mlemavu mguu mmoja, unapaswa kumshukuru Mungu coz kuna wengine ni walemavu miguu yote miwili.

Kwenye Mpira hakuna kitu kama hicho kuwa tumshukuru Mungu kwa Kupoteza points.

Kwenye Mpira unachotakiwa ni Kushinda Michezo Mengi Zaidi bila ya Kuangalia hali za Wengine kama ni Mbaya au Nzuri.

Halafu Timu nyengine kuwa na hali mbaya sio kigezo chetu kuwa nasisi tunadeserve kuwa na Hali mbaya!! Kila timu ipigane kwa his own way.
Sawa Mkuu pole kwa kuwa katika hali hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yadi katika jambo ninalolichukia katika maisha ya Soka ni hii kumpigia mtu Ramli kuwa eti tutegemee Apoteze ili tuongoze ligi!! Ridiculous..

Tunachotakiwa ni kuwa tushinde sisi wenyewe ili tuongoze ligi.. It doesn't matter kwa City kushinda au Kupoteza! Matokeo ya City sisi yasituhusu! Bali matokeo yetu tu ya kupambana ndiyo yatuhusu.
Hii ndio hali halisi kwa sasa ni kuombea mpinzani apotezee ili sisi kuzidi kujikita kileleni mwa ligi, kwa namna matokeo tunayopata tangu januari mpaka sasa ni dhahili hatukwepi kumtakia Citi vipigo ikiwemo mechi ya leo...

Ajabu ni pale anapopigwa aafu unategemea umuone Klopp na kikosi kazi kazi badala yake anakuletea kikosi usichotegemea na eti anataka ushindi ni ajaabu sana tu..

Klopp sio malaika sitegemei awe sahihi muda wote but guys hizi sub zake ni pasua kichwa sana..

ile gemu ya Foxes tulipata kona kibao, tulipata mipira ya adhabu na hakuna hata moja ilizaa angalau nafasi nzuri ya goli, ipo tatizo pale si bure.

kulalamika barafu uwanjani na kunyimwa penati sio big ishu endapo nafasi muhimu zilizopatikana zingetumiwa vyema.

Kocha wetu ni mbishi, jeuri ya kijereman hivyo usishangae kikosi kile kile kesho ukakiona London Stadium ili mradi adhibitishie ma critics hapangiwi...

wote tunajua bila Karius kufanya aliyofanya preseason Klopp alikua tayari kumtumia tena msimu huu, huyu ndio kocha wetu anae soka manejiment kuliko Pep.

kumwombea Citi vipigo haiepukiki.
 
Hata Ponts 5 tusizichukulie powa sana kuwa tutapitwa! Points 5 ni nyingi sana kumpita mtu munayelingana kimichezo.

Baado naamini tutaongoza ligi mpaka mwisho wa Msimu na kubeba ubingwa.

#YNWA
 
Klopp achukue 3Points pale OT? Lol!!

Hakuchukuwa kwa LVG na Mourinho waliokuwa wanasuasua aje achukue sasahivi ambapo bado wananguvu za soda.

Mimi naona tuende na Game plan ya draw tu.
Haha bila shaka chini ya Ole Traford kumekucha kabisa..

kwa vile nao nafasi ya nne wanaihitaji naamini hawatapaki basi watafunguka hivyo itakua open game...atakaepanga kikosi bora na formation bora ndio atachomoka na pointi tatu muhimu.
 
Pale ni kufa na kupona, tumwombe Mungu ampe mwanga Klopp wa kupanga kikosi sahihi.
Huyu bwana upangaji wa kikosi unaweza kuona kama upo ndotoni vile..

na tena ma pundits akina Nevile n.k wakimponda basi ujue mechi ijayo atapanga hivyo hivyo ili mradi kuwaonyesha he is boss.

kazi tunayo. he is human being prone to mistakes hivyo twende nae taratibu atuletee ubingwa...

we are a bit lucky tho Citi have lost thier usual mojo n instead of using that as boaster tunageuka kituko zaidi...
 
Haha bila shaka chini ya Ole Traford kumekucha kabisa..

kwa vile nao nafasi ya nne wanaihitaji naamini hawatapaki basi watafunguka hivyo itakua open game...atakaepanga kikosi bora na formation bora ndio atachomoka na pointi tatu muhimu.


Bro! most people feel the game will be won by the attack, But it will be won by the defence. Both teams can attack and score goals, but whoever defends best will win.

So, tunahitaji tuwe na very strong defence that will be outstanding kwa 90minutes without any single error.

It doesn't matter how we'll attack, the real matter is how we'll defend.
 
Klopp achukue 3Points pale OT? Lol!!

Hakuchukuwa kwa LVG na Mourinho waliokuwa wanasuasua aje achukue sasahivi ambapo bado wananguvu za soda.

Mimi naona tuende na Game plan ya draw tu.

Inawezekana Mkuu, unajua Man U wanategemea Counter, Tukiwa tunapanda wote na kujisahau mbele lazima tukalishwe.

Lakini Defence ikiwa strong na viungo kwenye kukaba na kutojisahau, Saa 2 asubuh tutawakalisha Man U.
 
Wazee wa soccer management
FB_IMG_1549201133940.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom