Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Natumai na Leo anamfunga man city 2
Sababu yangu ni ushabiki kazi yangu sasa ni kuombea mabaya tu kwa city & totts![]()
Hata Mimi Moyoni Siamini Kama Arsenal anaweza Kumfunga au Kudraw na City pale ETIHAD lakini Siachi kuiombea Mabaya City ya Kupoteza au Kudraw na Arsenal leo.
Na Nina Kajiimani Kadogo kuwa City anaweza Kudraw leo.