Stephen M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 372
- 379
Hapana Mkuu si control chochote, kwenye mjadala wajumbe tunatoa mawazo yanaweza kuwa mazuri au mabaya. fanyia kazi mazuri mabaya yapuuze.Hakuna tatizo, naona kama kuna aina fulani ya kutoka ku-control tunachojadili kuhusu Liverpool FC.
Sent using Jamii Forums mobile app
