BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,911
- 11,729
SIONI SABABU YA KUTEGEMEA MISTEKI ZA CITY KWA SASA LIVER TUNATAKIWA KUSHINDA TU NDO TUTAKUA KTK MERCY
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app



Arsenal siyo wa kuwaamini kabisa kilichobaki sasa ni ku pambana na hali yetu kikubwa tuombee pitch zote tutakazoenda kusiwe na snow
Mkuu utaishia tu kupata aibu huko uliko.....aseno sio wa kuwadhamin hata kidogo
Yani mkuu huyu klop makosa aliyoyafanya tulipokutana na cty ndio yanatugharimu hadi sasa.Leo City kashinda basi subiri kesho Lallana atupe ushindi na sisi
Tupo mbele kwa 2 points only,sasa klop kesho ndio tutaona soccer management yako
City ana game na Everton, nafikiri wanacheza jumanne..!Sasa tunahamia kwa Ze Bluz amsimamishe City 😀😀
Yani kweli tumeishiwa manake si kutegemea wengine kiasi hichi kuwa watupatie Faraja.
Kwani Mkuu uliamini kweli kuwa Arsenal anaweza kumzuia City? 😀😀😀
mkuu unatoa ushindi hata kwa Cardiff dhidi ya mpinzani wako



Hahahah tuzidi kushikamanaLeo City kashinda basi subiri kesho Lallana atupe ushindi na sisi
City ana game na Everton, nafikiri wanacheza jumanne..!
Ni game ngumu sana..!
Ukiwa frustrated na footballmkuu unatoa ushindi hata kwa Cardiff dhidi ya mpinzani wako
City ana game na Everton, nafikiri wanacheza jumanne..!
Ni game ngumu sana..!
Sasa tunahamia kwa Ze Bluz amsimamishe City 😀😀
Yani kweli tumeishiwa manake si kutegemea wengine kiasi hichi kuwa watupatie Faraja.