Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Yaani ndiyo hivyo laiti wangeshinda mechi yetu tungeharibu maana tungekuwa tunacheza kwa presha yao....Naamini pia hamu ya kushinda imeongezeka mwaka wamatumaini huu
Ila kwa kuwa wamechspwa mechi ya kesho itakuwa niyautofauti sana tofauti na vile tunavyofikiria ila lazima mwanzo watakaza sana ila tutakapowavuruga pale watakaporuhusu goli hapo ndipo tutakapozalisha magoli
Sent using Jamii Forums mobile app

