Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Na nyie mnaeza mkapigwa pia.

Leicester sio timu ndogo kivile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh ndio sijaweka guarantee ya kushinda ila imepunguza presha na kifanya mechi ya baadae kuonekana kawaida.

Newcastle wamepunguza presha sana.

Kina Eddo Shaffi na wengi wao walisema pressure kiuzoefu anayo city kuliko liverpool kwa hiyo liverpool ataathirika ila hawakumbuki bingwa hua ana bahati kuliko ubora na uzoefu wakati mwingine.

Bado nalikumbuka Goli la Origi vs Everton.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale sitaki kujiamini kabisa tuwafunge kwanza ndo nishangilie wabishi sana kwetu jumlisha na hali tulionayo itakua kazi kesho

Guadiola kasema aki lose moja tu katupa ubingwa keaha lose teyali sasa kazi kwetu
Shua mchezo utakuwa mgumu ila naimani kulingana na matokeo ya leo washikaji wametupa nguvu mara tano zaidi ya kupambana kufa na kupona siku ya kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom