Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Keita kwasasa tuukubali ukweli kuwa performance Yake ipo chini sana.

Kwahiyo combi ya Mido yetu kwa sasa ni GINI-FABI-HENDO.

Akipona AOC basi combi yetu itakuwa GINI-FABI-OX.

Keita anahitajika aimprove kiwango chake kwanza.
Keita ni kamari tu iyo mlicheza.

Gomez ndo ivo tayari

Tegemeo ni VVD tu, akiumia uyo ndo basi tena ..

Lovren ambaye hana tofauti na Phil Jones sasa atakuwa na uhakika wa Namba mpka mwisho wa msimu..

UBAGUZI wa Klopp utawagarimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanachofanya Barcelona ni kama mchezo wa kuigiza!

Hivi Barca anashida ya Boateng kweli??
Rabiot?

Timu yenye Midfielders Kama Dembele, Arthur, Rakitic, Coutinho, Vidal and Busquet sidhani kama kuna nafasi ya Boateng na Rabiot.

Rabiot ashaenda Barca?

Rakitic, Rafinha inasemekana wanaondoka summer baada ya usajili wa De Jong

Ila hii ya Boateng nimestuka sijui plan zao ni nini!?
 
dah!! nmeona it’s a serious problem man!

Nkikumbuka ile save vs Everton kwenye line.. dah this boy is the best...

Gomez ni dark key yetu, Tunamhitaj haraka sana maana juzi vs crystal palace kuruhusu yale magoli 3 per match, kulinitia shaka sana.

Binafsi siwez weka matumain yangu kwa Lovren na Matip, Klopp ilifaa aingie sokon avute beki mmoja wa maana, Tufanye usajil kwa kucover mapungufu.

All in All, IT'S COMING HOME.
 
Rabiot ashaenda Barca?

Rakitic, Rafinha inasemekana wanaondoka summer baada ya usajili wa De Jong

Ila hii ya Boateng nimestuka sijui plan zao ni nini!?


Rabiot hajaenda Barca lakini bado wana interest naye..

Sasahivi Barca hinunui mabeki wala washambuliaji bali inanunua Midfielders tu...
 
Sajili hizo 3 kwenye next window (Summer) zinatosha kubalance timu kwa next season
 
Hatuhitaji usajili wa Beki 2 coz TAA sio injury prone then Camacho is enough back up ya TAA
 
Tupunguze/Tuoffload baadhi ya wachezaji ili kufund hizo new signings...


Wanaopaswa kuondoshwa ni:
  1. Mignolet
  2. Origi
  3. Sturridge
  4. Lallana
  5. Markovic
  6. Clyne
  7. Moreno

Ambao tayari tumeshakubaliana kuondoka ni:
  1. Solanke
  2. Karius
  3. Ings
 
Kipa wa U23 ambaye ni Caoimhin Kelleher afanywe rasmi kuwa ndiyo Back up ya Alilison hasa kwenye Carabao na FA au in case Allison kapata injury
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom