OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Hahaha mumeanza kuwaogopa Man United..!! Ahahaha hizi ni dalili za mwanzo tu..ni sahihi, Gomez anahitajika awe kashapona vs Manu...
kwa sasa ni kuwaombea pepo la majeruhi lipate mbali kabisa na wachezaji wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hendo vipi unamtaka?