Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
defintly, mpaka sasa City bado anapewa pointi nyingi kuchukua ubingwa na wacheza kamali na wachambuzi wazoefu UK hio sio bure mbali City anakikosi na wachezaji wenye uzoefu na kocha mzoefu wa kuchukua makombe tofauti...Ahahaaah...
Upo sahihi,adui yako muombee njaa...
Ila pia usisahau,never underestimate your enemy..!
Kwetu sisi Liverpool ni kuhakikisha kila mechi tunacheza kwa umakini ili kutoka na ushindi wa pointi 3 muhimu.
Ya City tuwaachie wenyewe tupambane na yetu.