Keyboard_Warrior
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 6,101
- 10,467
Huo muda wa mimi kuchukua ratiba za timu za Uingereza kukuwekea hapa sina aisee..!Ujuaji kukuekea Facts?
Mimi nimezungumzia Timu yangu ya Liverpool na Timu Nyengine.
Mimi nimeweka Ratiba ya Liverpool ya December, Sasa wewe weka Ratiba za:
Man U ya December
Chelsea ya December
Arsenal ya December
Spurs ya December
Man City ya December
Namimi nitakuekea za kwao za February na March halafu tuangalie Je watakuwa na Mechi nyingi zaidi kuliko walizokuwanazo November & Decembe kama ulivyodai? Au watakuwa na Mechi kidogo kama ninavyodai!
Shida iko wapi? Si weka tu Facts uniprove wrong! Hapa tunakwenda kwa Facts na si kutafuta huruma brother.
Inaeleweka kabisa kuwa timu inavyokua kwenye mashindano mengi basi inakua na michezo mingi zaidi na probability ya kuwa na majeruhi wengi katika timu inakua kubwa zaidi..!
Ila hii sio debate mzee,ni mjadara wa kimichezo tu...
Na kwakuwa wewe ushajinasibu unafuatilia (na kuuelewa bila shaka)mpira kushinda mimi,hata hizo facts unazohitaji hazitasaidia kitu Mzee..!