The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
I like the way he was playingNiceee my man haha
TORRESSSSS
scoring at difficult angles... i miss those moments to to to too toreeeeeees
Sent using Jamii Forums mobile app
I like the way he was playingNiceee my man haha
TORRESSSSS
I like the way he was playing
scoring at difficult angles... i miss those moments to to to too toreeeeeees
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ni Left footer lakini pia left hand writer huyu kweli ni HALISI
😀My Line-Up vs Palace:
SALAHAIn case GINI hatokuwa fit:
MANE - BOBY - HENDO
FABY - GINI
ROBO-VVD-MATIP-MILLIE
ALISSON
SALAHFormation: 4-2-3-1
MANE - BOBY - XHAKIRI
FABY - HENDO
ROBO-VVD-MATIP-MILLIE
ALISSOM
NOTE: Nimemueka HENDO kwenye vikosi vyote viwili sio kwamba Namrate kuwa ni mchezaji!! Ninachojua kuhusu Hendo Hata Lipuli FC hawezi kupata namba! Bali ninajua kuwa KLOPP lazima atampanga tu ndiyomana nikamueka.
Jamaa ni Left footer lakini pia left hand writer huyu kweli ni HALISI
...ili usiquotiwe basi usicomment kabisaa !Sijawahi kuku Quote mkuu tafadhali sana mkuu jibu tu bila kuni Quote
well said Mkuu hana mpango wa kuuza, hopefully the he can resurrect his career, so far this Jan Klopp was looking for loaning him again before sellin Solanke.even hata akija Timo, we'll still need players like Origi kwenye squad, players ambao wanaweza kutokea bench na kufanya chochote
i dont think kama Klopp atapenda kumuuza Origi but can see him and his father forcing a move
well said Mkuu hana mpango wa kuuza, hopefully the he can resurrect his career, so far this Jan Klopp was looking for loaning him again before sellin Solanke.
Habari nzuri ya siku hii! How much will he be taking home at the end of the week!Official: 5 years contract for Andy Robertson
Deserved.
Watu wana masharti magumu?hii ndio ile upo kwenye daladala la goms limeshona halafu hutaki kuguswa..hahahaha konda anakwambia kodi uber
Rhian akisharudisha makali yake baada ya majeraha ya muda anatakiwa awashe moto aliokua nao kabla ya jeraha, ndogo kipaji kipo sasa ni namna ya kumuingiza kwenye kikosi cha kwanza....lets see kitu ambacho Brewster ataleta kwenye team
Klopp seems to rate Brewster highly, maybe anaweza akampa nafasi ya Origi moja kwa moja
but inategemeana na kiwango cha Brewster and issue ya Origi's father ku-force a move
VVD longterm, Mane longterm, Firmino longterm, Fabihno long term, Allison longterm, Robbi long term, Keita longterm, Rhian long term, Wiliison long term,Official: 5 years contract for Andy Robertson
Deserved.
Naby Keita is very BIG thing.....very very BIG
Katika post zao utagundua kuwa they know nothing about football analysis
Na ndiyo mana wana misamiati yao SITA haizidi 😀😀
1) Hujui Soccer management
2) Klopp anajua Zaidi kuliko wewe
3) Hujui lolote
4) Sisi Liverpool HALISI
5) Hendo katufikisha Fainali
6) FA na Carabao ni makombe ya Kipuuzi
Lakini ukiwambia wakupe Facts kuhusu ya hata kile wanachokiongea basi wanaishia na personal attacks lakini kichwani Hanna kitu.. 😀😀
Ukitaka kujua kama Hawa Jamaa Vichwa vyao Vikubwa lakini ubongo wao ni wa Mende basi muulize swami dogo tu! Hendo anaoffer nini uwanjani?
Yeye anakujibu Katufikisha Fainali![]()
Hizo akili au tope!!! 😀😀
Kuyt, most underrated player in LFC history
Top class player
Wakati tuna kodoa macho why klopp kamkopo N.Clyne...
Pochettino Anaamua kumuuza M.Dembele huko china kuna namna hawa wachezaji na agents kulazimisha uhamisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uki iona post yangu fanya hivyo