Hoja nyepesi kaka ubora umemfikisha alipo kwa nini hili tunakwepa?
Mbona kocha tofauti wameshindwa kuchukua world cup na wachezaji wazuri?
where are the psg with there huge investment kwenye mashindano ya ulaya?
Kwa mantiki ya hoja yako messi na ronaldo hawastahili Tuzo za dunia kwa sababu walikua na watu wazuri waliomzunguka?
man city lini kachukua ligi na point 100 kabla ya pep?
Man city hii hii ya pep iliifunga barcelona 3-1 yenye Messi Iniesta Neymar Suarez busquet ambaye wengi husema ndio ubora wa pep (messi).
Nimalizie kwa kusema ili ukae uko kwa walio bora unapaswa kua bora...
We need to credit pep mwenye trophies more than 22 in 10 and half years.
Sio tunamuabudu tunakubali mafanikio yake.
but i trust in Klopp akitulia na Michael Edward atakua among lfc legend manager to be remembered... kwanza as first manager to win EPL for us.
Sent using
Jamii Forums mobile app