Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Who wanna bet?

Milner will have a blinder at RB against CP

AND....the SHEEP will be out in full force telling Ngwaba and his crew kuwa ni fake fans


state of this platform man
 
Sawa hoja yangu nyepesi PEP ni kocha mzuri sina ubishi na hilo ila kuonesha mafanikio kwa sehemu alizofundisha ni sawa na kustaajabu kunyesha mvua kipindi cha masika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha vituko wewe ili uwe kocha bayen ni lazima ukidhi viwango kwanza.

Man city ilitaka kua bora na ndo sababu ya kumuita ili awape vikombe kua muelewa ndugu kadifu wanapesa ya kumlipa kocha bora kama Gudiola?
 
Unavyosikia Arnod atakuwa nje mwezi na huku kocha wako amemtoa kwa mkopo Clyne(kwamba mi surplus) ndipo unapojua kuwa kweli hujui the so called soccer management...

Kwa hiyo hapo hiyo namba wataanza kucheza watu wa "by the way" eti kwa kuwa wanaweza PIA kucheza kama right back.This is just the beginning of paying the price of loaning out a fit Clyne
Ha ha ha sisi feki bhana ngoja tunyamaze.
Wenzie wanajaza wachezaji wakali benchi yeye uwezo wawakali hana hata hao wabovu ndo uwatoe?

BANGI CLOOP BANGI CLOOP PUNGUZA BANGI
 
Comments nyingi naona watu wana-prefer Faby over Milner kisa alicheza vizuri CB so why not RB lakini kwakua Klopp hupenda ku-prove watu wrong (I bet Milner to RB) ila asipande kupiga cross he'll be out of pace early



Tukivuka kipindi hiki cha majeruhi salama the race is over hata kama city naona wasipopoteza .... The multi-universe & universe will be red
 
Lfc
IMG_20190115_210014.jpeg
IMG_20190115_210009.jpeg
IMG_20190115_210006.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes of course lkn hatuna uwezo wakumpata cline at this stage km ni mistake yakumpeleka kwa mkopo ishafanyika the only option nikuangalia available option nakuzitumia hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna binadam anakuambia Clopp hakosei yeye anajua zaidi.
Hapo unasema makosa yeshatokea tugange yajayo sijui nani anahusika na makosa hayo? msaada kwa tuta mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom