Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ushabiki uzoee tu dont take it too personal utakutesa sana,.
Ikiwa tu wewe mwenyewe unajikosea sembuse wa pembeni yako?

Just relux & enjoy football

Sisi Liverpool fake vs Wao Liverpool Halisi sote ni Liverpoolfc tu haitabadili ukweli. Na kwa ujumla may kama ubingwa tutashangilia sote hautawapata ninyi halisi na kutubagua sisi fake & vice verse.

Ila battle lazima iwepo kikubwa kutokoseana Heshima over.

Just relux & enjoy football

The bad issue is to force your perspective(s) to be the final solution.

Just relux & enjoy football

we are reds...
we breath red...
we stand red...

More than Family.

Liverpool fake
Here we go Hendo & Lovren not our level at all especially 1st 11..
Hendo ana bahati jmn sababu ya nidhamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Relax sio relux mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klopp ni moja ya makocha wazuri sana ila huweza mfananisha na pep interm of success tu.

profile ya pep ni mbali sana na klopp.Pep amechukua makombe karibu yote aliyoshiriki.

pep sio Mungu mtu kama wengi mfikirivyo yule jamaa anajua mpira ni ku-win cups ndipo utawachwa watu midomoni mwao wakikuzungumza.

Angali kocha kama Sarri mpira mzuri mafanikio hamna lkn anaweza kuibuka mtu akakuambia Sarri ni mzuri kuliko Unai ambae unai ana uefa europe 3.





Sent using Jamii Forums mobile app

Hii ndiyo points yetu hasa!
Klopp ni good coach, but Pep ni best coach.

Tunachosema Pep ni Kocha bora kwa sasa kuliko kocha yoyote yule duniani na si kwa Klopp tu.
Hii ni kutokana na Mafanikio yake aliyoyapata kwenye timu alizofunfisha.

Hii habari za MUNGU MTU ni mipasho tu ya kike kutaka kuwaaminisha watu kuwa Klopp ni bora kuliko Pep kisa tu tunaongoza Ligi.

#YNWA
 
Ushabiki uzoee tu dont take it too personal utakutesa sana,.
Ikiwa tu wewe mwenyewe unajikosea sembuse wa pembeni yako?

Just relux & enjoy football

Sisi Liverpool fake vs Wao Liverpool Halisi sote ni Liverpoolfc tu haitabadili ukweli. Na kwa ujumla may kama ubingwa tutashangilia sote hautawapata ninyi halisi na kutubagua sisi fake & vice verse.

Ila battle lazima iwepo kikubwa kutokoseana Heshima over.

Just relux & enjoy football

The bad issue is to force your perspective(s) to be the final solution.

Just relux & enjoy football

we are reds...
we breath red...
we stand red...

More than Family.

Liverpool fake
Here we go Hendo & Lovren not our level at all especially 1st 11..
Hendo ana bahati jmn sababu ya nidhamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hendo is very humble, very cool guy hana makuu at all a real professional n so easy to work with...

sasa hizo sifa alone cant win us th title yaani hapo ndio shinda ilipo, tunahitaji he deliver in n out ot th field na si kingine...

Kashapewa alot of chances bt yupo tu Hendo wa leo ndio wa jana na juzi no improvment n that not good enuff.
 
Kwa hali ilivyo naona City akiendeleza muziki wake wa ushindi kwa kasi sana.

Kitu muhimu ni sisi kudili na ratiba yetu, tukomae kwa kuendelea kushinda, hasa ukiangalia pia ratiba yetu siyo mbaya sana.
Mkuu upo sahihi, sisi tudili na ya kwetu haya ya City tuwaachie wenyewe mechi nyingi mno hivyo th two horse race just gettin started

next two games tupo nyumbani lets get back to proper winning ways.
 
Hii ndiyo points yetu hasa!
Klopp ni good coach, but Pep ni best coach.

Tunachosema Pep ni Kocha bora kwa sasa kuliko kocha yoyote yule duniani na si kwa Klopp tu.
Hii ni kutokana na Mafanikio yake aliyoyapata kwenye timu alizofunfisha.

Hii habari za MUNGU MTU ni mipasho tu ya kike kutaka kuwaaminisha watu kuwa Klopp ni bora kuliko Pep kisa tu tunaongoza Ligi.

#YNWA
numbers dont lie trophy wise Pep s th King, Klopp has some catching to do
 
Mkuu upo sahihi, sisi tudili na ya kwetu haya ya City tuwaachie wenyewe mechi nyingi mno hivyo th two horse race just gettin started

next two games tupo nyumbani lets get back to proper winning ways.

Sahihi, 4 points siyo nyingi kabisa, lakini tukicheza na mentality ya kudili na mambo yetu utashangaa points zinaongezeka.

Kitu muhimu ni kuhakikisha tunashinda game zote kabla ya kukutana na Man Utd, maana hiyo game ya Man Utd kuna hatihati ya kupunguzwa points.
 
ni bora kuliko wote duniani?ok
naomba nielimishe amempiku nini zidane? nimeuliza tu naomba nijibiwe kwa fact.
 
Sahihi, 4 points siyo nyingi kabisa, lakini tukicheza na mentality ya kudili na mambo yetu utashangaa points zinaongezeka.

Kitu muhimu ni kuhakikisha tunashinda game zote kabla ya kukutana na Man Utd, maana hiyo game ya Man Utd kuna hatihati ya kupunguzwa points.

Tukiwekea Mido ya Gini-Hendo-Milner mbona tutapigwa hata 7-0 na Man U.
 
Sahihi, 4 points siyo nyingi kabisa, lakini tukicheza na mentality ya kudili na mambo yetu utashangaa points zinaongezeka.

Kitu muhimu ni kuhakikisha tunashinda game zote kabla ya kukutana na Man Utd, maana hiyo game ya Man Utd kuna hatihati ya kupunguzwa points.

Tukiwekea Mido ya Gini-Hendo-Milner mbona tutapigwa hata 7-0 na Man U.
 
Hajawah kubeba makombe ya ligi 18, sisi tunayo tayar.

Hajawah kubeba UEFA 5, sisi tunazo tayar kabatini. This is Liverpool.

ni bora kuliko wote duniani?ok
naomba nielimishe amempiku nini zidane? nimeuliza tu naomba nijibiwe kwa fact.
 
Katika list iliyitoka jana ya Club Kubwa na tishio kwa sasa Europe.

1.Juventus
2.Barcelona
3.LIVERPOOL
4.Dortmund
5.Psg
6. Mardid
Etc...
 
Hajawah kubeba makombe ya ligi 18, sisi tunayo tayar.

Hajawah kubeba UEFA 5, sisi tunazo tayar kabatini. This is Liverpool.
Mtoto ambaye amezaliwa akakuta historia kwamba baba alikuwa na gari zamani haisaidii. Mtoto ataonekana mjinga akianza kujivunia historia wakati yeye tangu azaliwe hujawahi kumwona baba hata akiendesha hata baiskeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimamo wa Ligi baada Ya Ole Gunnar kuja United
20190115_095317_rmscr-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom