Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jurgen Klopp reckons Xherdan Shaqiri could reach Philippe Coutinho-type levels at Liverpool.

The Swiss midfielder has started his career at Anfield impressively, netting six goals in 15 appearances.

β€œWe did have to find a position for [Shaqiri],’ Klopp told Sky Sports. β€œThat’s a pretty good one, we tried it in a 4-3-3, he can’t play there yet as a half-space midfielder.

β€œYou don’t want to force a player into a position, you want to show his strengths, not where he isn’t good.

β€œXherdan’s main quality is obviously offensive – creating, shooting, finishes, being between the lines – and in a half-space position, there is a lot of defensive work.

β€œHe can do that and he gets better day by day and maybe one day, he could play it like Phil could play it in the last half year he was here.”
 
Bwana wewe kwani kukubali kuwa mumemkosa huwezi mpaka mumtoe kasoro kijana wa watu daaaaah we jamaa punguza unafki basi wakati munamfatilia mbona hukuyasema haya .......

Umenikumbusha SUNGURA WA SIZITAKI MBICHI HIZI

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tulimfatilia msimu gani? labda tuanzie hapo.
Mara ya mwisho kumfatilia ilikuwa ni 2017 lakini Dortmund walisema hauzwi lakini Klopp hakueka dau lolote.

Baada ya hapo ikaishia kuwa tetesi tu

Lakini kama una evidence yoyte kuwa Klopp alitoa dau lolote kwa Dortmund likakataliwa basi lete hapa!
Usiniambie kuwa The mirror wameandika, au Bild wameandika, au kuna mtu twitter kaandika! Liverpool haiendeshwi na Magazeti wala twittwer.

Tunayo official website yetu, tunalo gazeti (Echo) linalotumiwa na Liverpool, pia tunayo TV official inayotumiwa na Liverpool.
Tafuta humo habari kuwa Klopp aliweka hata elfu kumi kuwa anamtaka Pulisic zikakataliwa.

Tetesi hazihukumu kuwa timu imemtaka mchezaji.

Inamana kwakuwa sasahivi Magazeti yanasambaza tetesi kuwa Liverpool inamtaka Timo Werner je akienda timu nyengine utasema Klopp kamtaka Werner akamkosa?
 
Kila nikichungulia sioni Liverpool anatokea wapi mbele ya city Leo

Tukutane baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
unafahamu vyema Majogoo sio timu ya kubabaishwa na City, hawa leo tunao...

Pep presha juu maana kila akitazama weak link ya Liverpool haioni hivyo itamlazimu ashambulie zaidi kipindi cha kwanza na hapo ndio pace ya Mane na Salah itawaumbua maana wao wanawaza kupunguza gepu angalau ibaki pointi 4, hivyo wao watakua ni ushindi tu maana hata kupaki toi Pep hajui yeye ni kushambulia , upande wa pili sisi ni kaunta tu wala hatuna kingine...

wapiga ramli msikae mbali kushuhudia gepu ya pointi 10 mapema Januari...

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…