Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Ninachomaanishisha ni kwamba sisi Liverpool huwa tunaamini vya kwetu mpaka kufa, siku akitoka ndo tunatemana nayeKwahiyo ikitokea Mchezaji kufunga goli ndiyo anakuwa Mchezaji bora?
Hivi hizi tathmini zenu munazifanyia kinamna gani?
Kwani Mchezaji gani wa Liverpool ukitoa Kipa aliyekuwa hajawahi kufunga goli?
Original
Surridge
Moreno
Clyne
TAA
Solanke
Lallana
Hawa wote wameshawahi kufunga Magoli sasa nao tutahadharishe kuwa ni Mabest player.
Sent using Jamii Forums mobile app

