Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

matokeo ambayo Alhamisi tunayahitaji ni mawili tu adiha ushindi or droo.....

Pep will demand th mother of all cheering from his fans ila sasa hua wanachoka haraka kupiga kelele after 20 minutes kama goli hamna hawatasikika...

kiukweki Anfield we are lucky maana mashabiki hua na timu full kushangalia kuanzia mwanzo hadi mwisho wa gemu...hii inatia morale kwa wachezaji sana tu...
 

Sina cha kuongeza hapo chief...
 
Ni kweli mumejenga timu na matunda yanaonekana. Apo Klopp anahitaji pongezi za kutosha

Kwanini mliwanunua wachezaji ambao hamkuwa na future nao? Moreno mpka analalamika ubaguzi wa klopp unazani hilo liko sawa??

Sent using Jamii Forums mobile app

Klopp siyo mbaguzi kwa Moreno, bali uwezo wa Moreno ni mdogo when compared to Robertson, na kwa kipindi tulichopo no room for errors.

After all Klopp alimbeba sana Moreno.
 
Hao sakina Fab & its company wana gemu zao za katikati ya wiki.

Sasa Klopp kawabagua kabisa akina Sturrigde, Moreno ...hakuna gem hata moja wanapangwa.

Watapataje uzoefu kama mambo ndo hayo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alim'beba vipi mkuu.? Kusingekuwa na malalamiko kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo Moreno bado yupo kwenye denial kuwa hazidiwi na Robertson, ndiyo maana unaona analalamika but ukweli ni kuwa AR26 is way better than Moreno by a MILE!

Ninaposema alimbeba sana nilimaanisha Klopp was supposed to buy a left zamani but almvumilia Moreno hata baada ya kuwa keshamnunua AR26.
 
Hao sakina Fab & its company wana gemu zao za katikati ya wiki.

Sasa Klopp kawabagua kabisa akina Sturrigde, Moreno ...hakuna gem hata moja wanapangwa.

Watapataje uzoefu kama mambo ndo hayo??

Sent using Jamii Forums mobile app
kina moreno,sturridge na mignolet mbona walipangwa kwenye carabao dhidi ya chelshit na badala ya kupambana ili kumconvice coach wakaboronga tukatolewa sasa kama walipewa nafasi ya kuonesha kuwa wanauwezo wa kuichallenge first 11 ya klopp wakashindwa wewe ulitaka wapangwe kwenye epl na uefa ili tuwe tayari tumeshatolewa uefa na huku epl tuwe tunastruggle kufight nafasi ya 6?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Club zao zinaongoza ligi na wananafasi ya kutwaaa makombe kila mwaka point yako ni ipi mkuu?
Point yangu huko wamekua sehem ya mafanikio wakati Liver walikua ndo mafanikio yenyewe.

Labda unambie wanapata heshima kama waliokua wanaipata Liverpool.

cc radika
 
mkuu wewe hujamwelewa huyu jamaa wa chelshit yeye alitaka hao kina moreno wacheze ili uefa tayari tuwe out na epl tuwe nyuma yao kama vile walivyotutoa carabao sababu ya haohao kina moreno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point yangu huko wamekua sehem ya mafanikio wakati Liver walikua ndo mafanikio yenyewe.

Labda unambie wanapata heshima kama waliokua wanaipata Liverpool.

cc radika
Hawawez kupata heshima kama walivyokuwa wakipata liverpool sababu hizo timu zimewakuza kisoka kule wamefata mafanikio na pesa kama ronaldo tu na manchester united madrid hakupata heshima kama tuliyompa
 

Umemjibu Vyema!

Anajifanya Kuwa kasahau Kuwa Hao anaowatetea ndiyo waliowapa wao Mdomo kwa Kututolesha Kwenye Carabao.

Now wanawapigia debe tuwachezeshe kwenye EPL ili tuje tupogwe Mkono na Man City.

Bora Hata waondoke lakini hatuwezi kuwapanga tena wakatuulisha kama walivyofanya kwenye Carabao.
 
Hao hawajui maana ya ushabiki, wanataka mchezaji abaki tu timu moja na akiondoka wanamchukia mazima na kufikia hatua ya kumuombea mabaya.

Kama kupata majeruhi, aanguke afe....

Sent using Jamii Forums mobile app
nafikiri hatupo serious hadi tuwaombee majanga ya kuwa majeruhi bin-adam wenzetu sema tu tunaongea kiushabiki tunaelewa pia kuwa kuna factor nyingi zinazofanya mchezaji kuhama timu na mojawapo ni maslahi mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…