The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
ilikua vs sevillaKama kukosa ueropa msimu uliopita kwny fainali dhidi ya dortmund ni uzembe wa moreno
ilikua vs sevillaKama kukosa ueropa msimu uliopita kwny fainali dhidi ya dortmund ni uzembe wa moreno
Apigwe tu
Bado yule CAN sijajua maisha yake kule.
EeeeeeehWanangu wa Liver eeeeenh
No doubt hili Ni goli bora la Msimu Wa 2018/19
Bila kumsahau "ROBBO". I call him "un sung hero"Iwapo tutabeba Ubingwa basi Mtu hanielezi chochote Bali nitahesabu kuwa waliotupa Ubingwa Ni ALISSON, GOMEZ na VVD.
Kufunga kwenye season mbili zilizopita tulifunga Magoli mengi lakini mwisho Wa Siku tulikuwa tukigombania Top Four Kwa sababu ya Makipa Wabovu (Karius & Lovren) na Mabeki Wazembe (Lovren, Klavan na Moreno).
Kwani magoli waliyokuwa funga kina Mane, Firmino, Coutinho na Salah hayakuweza kusaidia chochote kwenye Mataji.
Lakini season hii tumefunga Magoli Machache tu, Ila nasisi tumefungwa Machache kiasi ya Kwamba Defence inatuokoa kila Mchezo.
Sir Alex Ferguson: "Attack wins you a game, Defence wins you a tittles "
hahahaa!Mwaka huu nitanenepa hata nisipokula
just ignore it, chief...Kudadadeki wiki imeonekana inaenda salama bila malumbano anatafutwa mtu hapa!
Liverpool
LiverpoolKukosoa haimanishi timu haipendwi tembelea hata thread za wapinzani wetu wanakosoa na kulaumu endapo timu ikipata matokeo mabaya kwa uzembe wa wachezaji au kocha kupanga kikosi vibaya so mie sioni tatizo ni jambo la kawaida kukosoaJamani wana Liverpool halisi tunao kuwa chini ya Klopp na wachezaji hata siku tumepoteza mchezo tuendelee kushikamana!
Klopp alipo chukua team akituhaidi kuwa baada ya miaka minne kamili ndiyo tutaanza kuona mafanikio,nina amini alisema kweli!
Tuna games mbili ngumu Anfield na NC na Arsenal,tuzidi kushikamana
Sio season hiiOnly two teams in the last 10 years have been top of the Premier League at Christmas failed to win the title:
2008/09:Liverpool
2013/14:Liverpool
This is the 3rd time.
Kukosoa haimanishi timu haipendwi tembelea hata thread za wapinzani wetu wanakosoa na kulaumu endapo timu ikipata matokeo mabaya kwa uzembe wa wachezaji au kocha kupanga kikosi vibaya so mie sioni tatizo ni jambo la kawaida kukosoa