Gwamahala Jr
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 464
- 780
Natabiri DEJA VU!
Ile Liver wakiamini kabisa wanabeba kikombe cha epl, kama kipindi kile Gerrard alipojikwaa muda ambao hakupaswa kujikwaa na kumpasia Demba Ba, na kufuta ndoto za ubingwa labla ya crystal palace hawajazima kabisa basi raundi hii nauona mziki ule ule. Wazee wa liver wakiamini hivyo mara PAAAAAH, Salah katupia in the wrong net, mechi muhimu ya karibia kumaliza kazi kisha kila mtu wa liver back to reality.
Keep on dreaming...