Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_4787.JPG
 
huyu mwamba ndio aliowaonea huruma mpaka akawafungulia thread humu JF,ni shabiki nguli wa GUNNERS dah sijui yuko wapi maana kimya kingi sana mzee Mbu nakumbuka kipindi kile kulikuwa na huyu jamaa aitwae Nzi naye alikuwa shabiki lialia wa manure haya majamvi yalikuwa yananoga sanaaaaaaaaaaaa

cc. Wacha1 mzee wa khee khe khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Dully mpira umekwisha, pole na kwikwi pointu 3 safi kabisaaa...
haya ya aliyetuonea huruma hayatuhusu...Xmas swafii sana nipo kileleni...
Mtapata taaaabu sanaaa twazidi kuchaja mbuga...
Xmas comes early at Liverpool maana hawa Wolves wabishiiii wa vigogo...
Next ni 26/12/18 nazo pointi swafii tatu twabeba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom