Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

The gono wanaumia sanaaa
Tunampiga 4 sasa kama hamuamini ngoja muone
 
Nenda wewe ukapige maana haumuamini lovren
Alipokuepo Gomez ilikuwa kawaida Robertson anapopanda kushambulia basi VVD anacover nafasi yake huku Gomez akisimama katikati...

Lakini leo Robertson anapokwenda kushambulia basi nafasi yake inabaki tupu hakuna wa kumzibia na ndiyomana kuna baadhi ya mashambulizi yanapita upande wakee.

Hii yote ni kutokana na kuwa VVD hawezi kuondoka kati na kumuachia Lovren kwani muda wowote Lovren anaweza kuchomesha.

We are waiting for you Gomez
 
Tumesha waweza hawa ha ha haaaa. Kocha wao anatikisa kicwa tu dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom