Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Angewapa hata UCL moja tu mzee. Maana hamna hata moja. Sisi tuna kila kitu ulichowahi shinda wewe.
Nioneshe hili taji
Ukinionesha ,nitaamini wewe unaujua mpira au unafata mkumbo tu
FB_IMG_1545236166781.jpeg
 
Yaan Arsenal hata kuja kucheza nusu fainal UEFA itachukua miaka 50 kulibeba itachukua miaka 5000

Epl ndo hatokuja beba tena mpk dunia inaishaaa
Tupa hapa mkuu kitimu kinacho mtegemea yule TORREIRA akifichwa yy tim nzima kifoo

Kubeba kombe kama hili tena unatakiwa usahau.

Nyie mtabeba Community shield tu..
 
Yaan Arsenal hata kuja kucheza nusu fainal UEFA itachukua miaka 50 kulibeba itachukua miaka 5000

Epl ndo hatokuja beba tena mpk dunia inaishaaa
Tupa hapa mkuu kitimu kinacho mtegemea yule TORREIRA akifichwa yy tim nzima kifoo
Kujichosha tu kulumbana na huyu bwana. Ukimuuliza kitu kazi kukimbiakimbia. Hamna kitu ambacho arsenal amewahi shinda, Liver hana. Ila Liver ana 5 UCL yeyw han hata moja. Ukimuuliza anaanza toka/tangu 2011. Toka/tangu kana kwamba mpira umeanzia 2011 au arsenal haikuwepo kabla ya mwaka 2011.
 
Yaan Arsenal hata kuja kucheza nusu fainal UEFA itachukua miaka 50 kulibeba itachukua miaka 5000

Epl ndo hatokuja beba tena mpk dunia inaishaaa
Tupa hapa mkuu kitimu kinacho mtegemea yule TORREIRA akifichwa yy tim nzima kifoo
Unaongea utumbo tu,

Wewe toka liver ianzishwe haijawahi kubeba EPL

Halafu unaiombea arsenal ,ambayo ina EPL la kitofauti kabisa amabalo hata Pep kashindwa kulipata ,

Sasa wewe mwaka huu unajidanganya utabeba epl, labda mliibe
 
Kujichosha tu kulumbana na huyu bwana. Ukimuuliza kitu kazi kukimbiakimbia. Hamna kitu ambacho arsenal amewahi shinda, Liver hana. Ila Liver ana 5 UCL yeyw han hata moja. Ukimuuliza anaanza toka/tangu 2011. Toka/tangu kana kwamba mpira umeanzia 2011 au arsenal haikuwepo kabla ya mwaka 2011.
Haya mm sina ucl,

Wewe nioneshe EPL ,
 
Fs
Okay now this is mad;

Jose at United:

•Won 3 Trophies
•Spent 392 Million
•PL Finishes = 6th and 2nd
•Win Rate = 58%

Klopp at Liverpool:

•Won 0 Trophies
•Spent 411 Million
•PL Finishes = 8th, 4th and 4th again
•Win Rate = 51%
It enough... So we have moved from 2005 to Jose era?
 
Unaongea utumbo tu,

Wewe toka liver ianzishwe haijawahi kubeba EPL

Halafu unaiombea arsenal ,ambayo ina EPL la kitofauti kabisa amabalo hata Pep kashindwa kulipata ,

Sasa wewe mwaka huu unajidanganya utabeba epl, labda mliibe
Akil yko bhn katafute ushahid wwt unaosema liver hana EPL
 
W

Wale mbwa mwitu wanaendelea kuwinda na kung'ata na mtawafuata kwao! zawadi ya kumaliza mwaka na washika bunduki wa London mkivuka hapo tutaanza mwaka na strategy zingine
Mbwa mwitu sio tishio kwetu. Tumepumzika vya kutosha. Clean sheet itatuhusu.
Gunners watakuja na nguvu na tutawabamiza boxing day.
 
Wewe ukipoteza game 2, nafas ya ngap inakuhusu?
Wee kapambanie timu yako kule inakufa kibudu.

Una timu mbovu angalia Tottenham anakulamba home kwako.

Unabaki kubwabwaja kwenye majukwa ya timu za watu wazima.
 
Nakushangaa , liver anikere mimi, wakat inajulikana waz kuwa liver msimu huu atatoka KAPA

kama unabisha jifanye kama unajikuna,
Hahaha na wewe utatoka na nini?? Hahaha aise unachekesha...

Kombe pekee ambalo ulikuwa na uhakika wa kubeba ndo ilo umetolewa..

Wewe EPL utakuwa mshiriki tu..

Kazi yako kubwa ni kutengeneza wachezaji ili sisi ma giants tuje kuwachukua tu..
 
Yaan Arsenal hata kuja kucheza nusu fainal UEFA itachukua miaka 50 kulibeba itachukua miaka 5000

Epl ndo hatokuja beba tena mpk dunia inaishaaa
Tupa hapa mkuu kitimu kinacho mtegemea yule TORREIRA akifichwa yy tim nzima kifoo
Arsenal ukimshika Torroera tu Umeua timu nzima. Halafu kuna wajinga walianza kumfananisha Uyo Torroera na Kante Ngolo ..walifika mbali kabisa na kuanza kumuita "white Kante Ngolo"

Torroera bado ana safari ndefu sana kufikia mafani kwa Kante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom