Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Nioneshe hili tajiAngewapa hata UCL moja tu mzee. Maana hamna hata moja. Sisi tuna kila kitu ulichowahi shinda wewe.
Ukinionesha ,nitaamini wewe unaujua mpira au unafata mkumbo tu
Nioneshe hili tajiAngewapa hata UCL moja tu mzee. Maana hamna hata moja. Sisi tuna kila kitu ulichowahi shinda wewe.
Kwani stats zimeanzia 2011 eti mzee?Tamka kwa sauti kubwa
Stats zip? Za toka 2011 had leo kuwa wazee wa UKAMEN?
Kubishana na wazee wa ukamen ni kupoteza muda tu ,ila ngoja tuwafundishe historiaKubishana shaniki wa aseno ni matumizi mabaya ya rasilimali muda
Na mimi nikikuonyesha UCL ya mwaka 05 we utaonyesha nini?Nioneshe hili taji
Ukinionesha ,nitaamini wewe unaujua mpira au unafata mkumbo tuView attachment 972612
Kubeba kombe kama hili tena unatakiwa usahau.
Nyie mtabeba Community shield tu..
Sasa timu gan toka 2011 had sasa ni ZERO SILVERWARE na bado unapiga kelele hapaKwani stats zimeanzia 2011 eti mzee?
Jibu swali weweNa mimi nikikuonyesha UCL ya mwaka 05 we utaonyesha nini?
Kujichosha tu kulumbana na huyu bwana. Ukimuuliza kitu kazi kukimbiakimbia. Hamna kitu ambacho arsenal amewahi shinda, Liver hana. Ila Liver ana 5 UCL yeyw han hata moja. Ukimuuliza anaanza toka/tangu 2011. Toka/tangu kana kwamba mpira umeanzia 2011 au arsenal haikuwepo kabla ya mwaka 2011.Yaan Arsenal hata kuja kucheza nusu fainal UEFA itachukua miaka 50 kulibeba itachukua miaka 5000
Epl ndo hatokuja beba tena mpk dunia inaishaaa
Tupa hapa mkuu kitimu kinacho mtegemea yule TORREIRA akifichwa yy tim nzima kifoo
Inasema mna UCL ngapi historia hiyo?Kubishana na wazee wa ukamen ni kupoteza muda tu ,ila ngoja tuwafundishe historia
Unaongea utumbo tu,Yaan Arsenal hata kuja kucheza nusu fainal UEFA itachukua miaka 50 kulibeba itachukua miaka 5000
Epl ndo hatokuja beba tena mpk dunia inaishaaa
Tupa hapa mkuu kitimu kinacho mtegemea yule TORREIRA akifichwa yy tim nzima kifoo
Haya mm sina ucl,Kujichosha tu kulumbana na huyu bwana. Ukimuuliza kitu kazi kukimbiakimbia. Hamna kitu ambacho arsenal amewahi shinda, Liver hana. Ila Liver ana 5 UCL yeyw han hata moja. Ukimuuliza anaanza toka/tangu 2011. Toka/tangu kana kwamba mpira umeanzia 2011 au arsenal haikuwepo kabla ya mwaka 2011.
It enough... So we have moved from 2005 to Jose era?Okay now this is mad;
Jose at United:
•Won 3 Trophies
•Spent 392 Million
•PL Finishes = 6th and 2nd
•Win Rate = 58%
Klopp at Liverpool:
•Won 0 Trophies
•Spent 411 Million
•PL Finishes = 8th, 4th and 4th again
•Win Rate = 51%
Akil yko bhn katafute ushahid wwt unaosema liver hana EPLUnaongea utumbo tu,
Wewe toka liver ianzishwe haijawahi kubeba EPL
Halafu unaiombea arsenal ,ambayo ina EPL la kitofauti kabisa amabalo hata Pep kashindwa kulipata ,
Sasa wewe mwaka huu unajidanganya utabeba epl, labda mliibe
Mbwa mwitu sio tishio kwetu. Tumepumzika vya kutosha. Clean sheet itatuhusu.W
Wale mbwa mwitu wanaendelea kuwinda na kung'ata na mtawafuata kwao! zawadi ya kumaliza mwaka na washika bunduki wa London mkivuka hapo tutaanza mwaka na strategy zingine
Wee kapambanie timu yako kule inakufa kibudu.Wewe ukipoteza game 2, nafas ya ngap inakuhusu?
Hahaha na wewe utatoka na nini?? Hahaha aise unachekesha...Nakushangaa , liver anikere mimi, wakat inajulikana waz kuwa liver msimu huu atatoka KAPA
kama unabisha jifanye kama unajikuna,
Anachoambulia ni kipigo tu sasa...Shida ya huyu ndugu ni kwamba wameshajiona wamemaliza yani. Anajiona wameshaula.
Arsenal ukimshika Torroera tu Umeua timu nzima. Halafu kuna wajinga walianza kumfananisha Uyo Torroera na Kante Ngolo ..walifika mbali kabisa na kuanza kumuita "white Kante Ngolo"Yaan Arsenal hata kuja kucheza nusu fainal UEFA itachukua miaka 50 kulibeba itachukua miaka 5000
Epl ndo hatokuja beba tena mpk dunia inaishaaa
Tupa hapa mkuu kitimu kinacho mtegemea yule TORREIRA akifichwa yy tim nzima kifoo
Haya mm sina ucl,
Wewe nioneshe EPL ,