Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nilijua tu toka/tangu inakuja. Mie hujajibu swali. Umetoa orodha ya vitu ambavyo vimetokea tangu Liverpool ashinde Premier. Na mimi nakuuliza utuletee orodha hapa ya nini kimetokea tangu mshinde UCL mara ya mwisho.
Acha uongo wewe,livakuku lini kashinda premier?

Lazima tuulize TANGU, AU TOKA LINI

maana ni kipind marefa wanavaa suti,wewe hata hujazaliwa
IMG-20181006-WA0006.jpeg
 
Kwa unafiki hujambo, ulikomaa siku ile liver anapigwa, nikakwambia,ww mpira huujui,

Maana man u tayari walishaonekana underdog, then wanaenda anfiled,

Hata makampun ya kubet yakampa man u odd 6.

Wewe ukabak unakomaa man u anashinda,

Kama ulishindwa kuchungulia ile mechi, wewe mpira huujui, ndio maana unashabikia timu ya 2005, means wewe umeanza kufatilia mpira miaka ya 2015
Sasa unafiki gani apo nimeonesha?

Kusema Liverpool ina kikosi kizuri lakini sio bora?

Au kusema liverpool ilistahili kushinda?

Wewe kinachokukera ni Liverpool hajafungwa gemu ata moja kwenye ligi.

Arsenal mpaka sasa haina future, hamjui mnataka nini!

Man united anakuja hapo nyuma yako kwa kasi ..mkipoteza gemu mbili tu nàfasi ya saba itawahusu.
 
Ulitaka niseme jana ,? Kwan lini umebeba taji lolote, hebu tukumbushane,

Maana hata msimu huu tunajua mtamaliza KAPA
Jibu swali. Sisi tumeshakubali vyote hivyo. Na wewe tangu mlipobeba UCL nini kimejiri mpaka leo hii?
 
Sasa unafiki gani apo nimeonesha?

Kusema Liverpool ina kikosi kizuri lakini sio bora?

Au kusema liverpool ilistahili kushinda?

Wewe kinachokukera ni Liverpool hajafungwa gemu ata moja kwenye ligi.

Arsenal mpaka sasa haina future, hamjui mnataka nini!

Man united anakuja hapo nyuma yako kwa kasi ..mkipoteza gemu mbili tu nàfasi ya saba itawahusu.
Wewe ukipoteza game 2, nafas ya ngap inakuhusu?
 
Sasa unafiki gani apo nimeonesha?

Kusema Liverpool ina kikosi kizuri lakini sio bora?

Au kusema liverpool ilistahili kushinda?

Wewe kinachokukera ni Liverpool hajafungwa gemu ata moja kwenye ligi.

Arsenal mpaka sasa haina future, hamjui mnataka nini!

Man united anakuja hapo nyuma yako kwa kasi ..mkipoteza gemu mbili tu nàfasi ya saba itawahusu.
Shida ya huyu ndugu ni kwamba wameshajiona wamemaliza yani. Anajiona wameshaula.
 
Sasa unafiki gani apo nimeonesha?

Kusema Liverpool ina kikosi kizuri lakini sio bora?

Au kusema liverpool ilistahili kushinda?

Wewe kinachokukera ni Liverpool hajafungwa gemu ata moja kwenye ligi.

Arsenal mpaka sasa haina future, hamjui mnataka nini!

Man united anakuja hapo nyuma yako kwa kasi ..mkipoteza gemu mbili tu nàfasi ya saba itawahusu.
Nakushangaa , liver anikere mimi, wakat inajulikana waz kuwa liver msimu huu atatoka KAPA

kama unabisha jifanye kama unajikuna,
 
Shida ya huyu ndugu ni kwamba wameshajiona wamemaliza yani. Anajiona wameshaula.
Nyie si ndionajiita kabisa et Unbeaten

Dunia inaijua unbeaten 1 tu ,ya arsene wenger

Nyie tushashuhudia mkifanya vzr, ila mwisho wa msimu ni ZERO TROPHIES
 
Nyie si ndionajiita kabisa et Unbeaten

Dunia inaijua unbeaten 1 tu ,ya arsene wenger

Nyie tushashuhudia mkifanya vzr, ila mwisho wa msimu ni ZERO TROPHIES
Angewapa hata UCL moja tu mzee. Maana hamna hata moja. Sisi tuna kila kitu ulichowahi shinda wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom