Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kila lakheri kwenye champions league ila team yenu haijashinda away na sio salama sana unapokutana na team kama buyern ,Madrid ,barca
Last season mlitutoa Kila round kuanzia room, city etc.

Naona mmeanza Tena

Haya ngoja tuone, maana sometimes kubishana na shabiki was United Ni sawa na kutukana kivuli
 
Unai Emery amewafanya watu waibukie na kasi moja ya hatari Ahahahhahahahahah
1545226025569.png
 
Mbona hampend kusemwa nyie,

Hivi liver kuongoza lig , wakat hata raund ya 1 haijaisha mshajiona mmebeba EPL?

mimi nauhakika mwisho wa msimu mtatoka kapa ,

Kama hamuamin subirini,

Arsenal now tunajenga timu, hatuna presha, top 4 lazima, na kikombe kimoja kocha kaambiwa abebe ,kati ya carabao, FA au UEROPA,

halafu tukizama Uefa, ndio tupambanie Epl,
1545226974314.png
 
Liverpool 3 - 6 Arsenal
Game date: Tuesday 9 January 2007 at 19:45
Stadium: Anfield
Competition: League Cup 5th round
Attendance: 42,614
Half - time score: 1 - 4
Referee:Atkinson M
Manager:Rafa Benítez
Opposition manager:Arsène Wenger

TAREHE 29 TUNAKUJA KULETA MSIBA MZITO HAPO ANFILED

TUPANGIEN VIUNGO WENU HAO KINA FABINHO TENA,
 
Wahusika wa Liverpool nimeikuta hii sehemu sijui ukweli wake ukoje.

Mara ya mwisho Liverpool kuchukua ubingwa wa Uingereza ilikuwa siku ya Jumamosi, Aprili 28, 1990 baada ya kuifunga QPR goli 2-1.

ANC ilikuwa chama cha upinzani nchini Afrika Kusini.

NCCR Mageuzi lilikuwa vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba Tanzania.

Rais wa Marekani alikuwa George Bush mkubwa.

Soda moja ilikuwa shilingi 40/=

Tanzania Bara ilikuwa na mikoa 20.

Stendi ya mabasi ya Mikoani ilikuwa Kisutu na Mnazi Mmoja.

Palipo na Ubalozi wa Marekani palikuwa Drive Inn Cinema.



Jose Mourinho hakuwa ameanza kuwa kocha lakini katwaa ubingwa huo mara 3.

De Gea hakuwa amezaliwa lakini katwaa ubingwa huo.

Noti ya juu kabisa Tanzania ilikuwa shilingi 1000/= na shilingi 10/= ilikuwa ya noti.

Rais mstaafu Benjamin Mkapa alikuwa waziri, JK alikuwa naibu waziri na JPM alikuwa mwalimu wa sekondari. Wote hao wameshakuwa marais.

Kumbi maarufu za burudani Dar zilikuwa La Prima, Bahama Mama na Mbowe. Na moja ya bendi maarufu ilikuwa Bima Lee Orchestra.

Msemo maarufu ulikuwa 'la kupalama la kuchumpa' na msichana aliitwa 'kishtobe'.

Sanduku la Posta ndo ilikuwa kitu cha kurahisisha mawasiliano na duniani tulikuwa na penpal friends.

Sir Alex Ferguson alikuwa na miaka 3 tu toka awe kocha wa Man United. Ameshastaafu baada ya miaka 27 na sasa ni miaka minne tangu astaafu.

Man United ilikuwa imeshatwaa ubingwa wa ligi mara 7 tu na Liverpool mara 18. Lakini leo hii Man United keshatwaa mara 20 na Liverpool bado hizo hizo 18.

Sehemu kubwa ya Ubungo ilikuwa pori na Sinza bado kulikuwa na mashamba ya mpunga.

Viwanda maarufu vya nguo vilikuwa Sunguratex na Urafiki. KTM Mbagala haikuwepo. Kwanza Mbagala yenyewe ilikuwa porini kabisa.

Timu maarufu kwenye ligi ya Tanzania ukiachia Simba na Yanga, zilikuwa Pilsner, Sigara, Tukuyu Stars, Lipuli, Ushirika Moshi, Pamba, Nyota Nyekundu, Milambo, Reli, MECCO, Coastal Union, Pan African, Ujenzi Rukwa na RTC Kagera.

Marijani Rajab alikuwa bado hai.

Diamond Platinumz hakuwa ameanza hata shule ya vidudu.

Kiongozi aliyekuwa akiogopwa duniani alikuwa Saddam Hussein.

Stori maarufu Tanzania zilikuwa za Willy Gamba. Jarida maarufu zaidi lilikuwa Sani la kina Bawji na Nico ye Mbhago na Tanzania Film la Faraji H H Katalambula.

Mchoraji maarufu zaidi alikuwa John Mathias Kaduma.

Kimsingi, ndo ivo.
 
Wahusika wa Liverpool nimeikuta hii sehemu sijui ukweli wake ukoje.

Mara ya mwisho Liverpool kuchukua ubingwa wa Uingereza ilikuwa siku ya Jumamosi, Aprili 28, 1990 baada ya kuifunga QPR goli 2-1.

ANC ilikuwa chama cha upinzani nchini Afrika Kusini.

NCCR Mageuzi lilikuwa vuguvugu la kutaka mabadiliko ya katiba Tanzania.

Rais wa Marekani alikuwa George Bush mkubwa.

Soda moja ilikuwa shilingi 40/=

Tanzania Bara ilikuwa na mikoa 20.

Stendi ya mabasi ya Mikoani ilikuwa Kisutu na Mnazi Mmoja.

Palipo na Ubalozi wa Marekani palikuwa Drive Inn Cinema.



Jose Mourinho hakuwa ameanza kuwa kocha lakini katwaa ubingwa huo mara 3.

De Gea hakuwa amezaliwa lakini katwaa ubingwa huo.

Noti ya juu kabisa Tanzania ilikuwa shilingi 1000/= na shilingi 10/= ilikuwa ya noti.

Rais mstaafu Benjamin Mkapa alikuwa waziri, JK alikuwa naibu waziri na JPM alikuwa mwalimu wa sekondari. Wote hao wameshakuwa marais.

Kumbi maarufu za burudani Dar zilikuwa La Prima, Bahama Mama na Mbowe. Na moja ya bendi maarufu ilikuwa Bima Lee Orchestra.

Msemo maarufu ulikuwa 'la kupalama la kuchumpa' na msichana aliitwa 'kishtobe'.

Sanduku la Posta ndo ilikuwa kitu cha kurahisisha mawasiliano na duniani tulikuwa na penpal friends.

Sir Alex Ferguson alikuwa na miaka 3 tu toka awe kocha wa Man United. Ameshastaafu baada ya miaka 27 na sasa ni miaka minne tangu astaafu.

Man United ilikuwa imeshatwaa ubingwa wa ligi mara 7 tu na Liverpool mara 18. Lakini leo hii Man United keshatwaa mara 20 na Liverpool bado hizo hizo 18.

Sehemu kubwa ya Ubungo ilikuwa pori na Sinza bado kulikuwa na mashamba ya mpunga.

Viwanda maarufu vya nguo vilikuwa Sunguratex na Urafiki. KTM Mbagala haikuwepo. Kwanza Mbagala yenyewe ilikuwa porini kabisa.

Timu maarufu kwenye ligi ya Tanzania ukiachia Simba na Yanga, zilikuwa Pilsner, Sigara, Tukuyu Stars, Lipuli, Ushirika Moshi, Pamba, Nyota Nyekundu, Milambo, Reli, MECCO, Coastal Union, Pan African, Ujenzi Rukwa na RTC Kagera.

Marijani Rajab alikuwa bado hai.

Diamond Platinumz hakuwa ameanza hata shule ya vidudu.

Kiongozi aliyekuwa akiogopwa duniani alikuwa Saddam Hussein.

Stori maarufu Tanzania zilikuwa za Willy Gamba. Jarida maarufu zaidi lilikuwa Sani la kina Bawji na Nico ye Mbhago na Tanzania Film la Faraji H H Katalambula.

Mchoraji maarufu zaidi alikuwa John Mathias Kaduma.

Kimsingi, ndo ivo.
We are so used to this shit."HUJATUKERA BADO"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom