ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Liverpool/ArsenalTokea tuanze hii season mpira Mkubwa tulioupiga leo hatujawahi kuucheza! Nani anabisha?
Liverpool/ArsenalTokea tuanze hii season mpira Mkubwa tulioupiga leo hatujawahi kuucheza! Nani anabisha?
Ila amesugua sana benchi, nadhan anataka kuonyesha ni kwann alinunuliwa kwa pesa nyingi vileFABINHO BEST DEFENSIVE MIDFIELDER IN EPL
Any argument? I'm ready for it just start
Hii machine baba Robertson#26!!!
Wewe ni muoga Wa match usibishe.criticism kibao.Dha afadhali nlikua naumia sana yani ha ha ha haaaaaaa
Tokea tuanze hii season mpira Mkubwa tulioupiga leo hatujawahi kuucheza! Nani anabisha?
Gemu yetu ya mwanzo westham anachukua 4-0 kipindi kile partnership ya gin, keita na milner ndio ilikua inabamba nako tuliupiga mwingi sanaTokea tuanze hii season mpira Mkubwa tulioupiga leo hatujawahi kuucheza! Nani anabisha?


nothing to say 


Mechi 21 anadakika 761 mwenye mechi 9 dakika 802 jibu unalo tayali