Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1544986791932.png
 
Mipira ya kujulia ukubwani bwana tabu sana, Mou aliua winga ya kulia baada ya Dalot kutoka, kwa hiyo huyu akawa free kupanda anavyotaka, Upmbaf wa Mou kumuacha bench Valencia ndio umempa kiki kijana. USIMPIME KWA MECHI HII ILIYOHARIBIWA NA UPANGAJI WA KIKOSI.


Hiyo mnajua wenyewe huko huko kwenye timu yenu so hayo maneno hayawahusu Liverpool FC na kama kipigo mmekula kipigo kilichoshiba, na kuhusu Robertson ni kwamba ndio mchezaji anaejua kukaba kuliko wote pale Liverpool kwa sasa
 
Hiyo mnajua wenyewe huko huko kwenye timu yenu so hayo maneno hayawahusu Liverpool FC na kama kipigo mmekula kipigo kilichoshiba, na kuhusu Robertson ni kwamba ndio mchezaji anaejua kukaba kuliko wote pale Liverpool kwa sasa
Huyu robertson ni moto wa kuotea mbali anakaba na anapanda kutoa assist na anaperfom kwa consistent ya hali ya juu
 
Nawasalimieni ndugu zangu wa Anfield. Huwa nawasomeni kimyakimya. Ila leo uzalendo umenishinda...

Babu niko nanyi nashangilia kimyakimya... kitu kimoja watu hawakijui ni kuwa Mungu ni shabiki wa Liverpool...

Salamaleku MosDef King Ngwaba Malafyale ... nawaeleweni sana... kila mmoja na filosofia yake ya soka la Anfield.

Pamoja sana

Wasalaam babu yenu ODM nikiwa huku mlimani nikiwaombea heri na mafanikio

YNWA
 
Huyu robertson ni moto wa kuotea mbali anakaba na anapanda kutoa assist na anaperfom kwa consistent ya hali ya juu


Huyo dogo ndio anaongoza kwa idadi ya successful tackles pale Liverpool kwa sasa na nakuambia angepata kiungo fulani walieivana nae ule upande wa kushoto basi angekuwa fullback bora sana
 
Nawasalimieni ndugu zangu wa Anfield. Huwa nawasomeni kimyakimya. Ila leo uzalendo umenishinda...

Babu niko nanyi nashangilia kimyakimya... kitu kimoja watu hawakijui ni kuwa Mungu ni shabiki wa Liverpool...

Salamaleku MosDef King Ngwaba Malafyale ... nawaeleweni sana... kila mmoja na filosofia yake ya soka la Anfield.

Pamoja sana

Wasalaam babu yenu ODM nikiwa huku mlimani nikiwaombea heri na mafanikio

YNWA

Mkuu usiache kutupitia mara kwa mara kwani Nyinyi ndiyo Watu Wazima Wa JF ambao ndiyo mulioifanya mpaka leo ikawa Hapa ilipo.
 
We ndo huangalii mpira. Nadhani Robertson umemwonea kwenye hii game usingesema mashudu yako hapa.
Achana na hawa bendera mimi nafuatialiga mazoezi ya melwood roberson ni mchezaji bora kwa sasa na amevaa ile spirit ya liver haswahaswa, Kwenye kambi ya liverpool wachezaji watatu milner, frimino na robertson ndio wanaojituma zaidi juzijuz hapa klop alimuongelea robertson baada ya kua nominated kwenye mchezaji bora wa mwezi
 
Mkuu usiache kutupitia mara kwa mara kwani Nyinyi ndiyo Watu Wazima Wa JF ambao ndiyo mulioifanya mpaka leo ikawa Hapa ilipo.
Yeah...Tangu Liverpool ileee iliyotwaa EPL kwa mara ya mwisho sie tupo nayo tu... Hii come back inatushtua hata sisi wakongwe... tulihisi ingepotea kama kina Sheffield Wednesday... au... Nottingham forest....vijana wengi hawajui kama hizi timu zilikuwepo... Liverpool inakuja kwa kasi na kurudia kwenye enzi zake.... timu pekee inayotawala soka la ulaya tokea Wingerezani...

Kila la kheri vijana wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom