Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hili goli tulilofungwa kwa mistake ya Kipa, Lukaku alipaswa kudhibitiwa mwanzo na Lovren asiupige ule mpira lakini Lovren tokea last season anakuwa ana ugonjwa wa Lukaku
 
Walau Mane hajaukamia ule mpira mana kawaida yake pale ni bonge la shutii.

Hafu leo namuona zaidi upande wa kulia sijui kuna badiliko gani mbaya zaidi Salah kushoto hakuwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom