Manyua siipend maana wana kelele na kocha wao mou
Katikat waliposhinda ,mou akasema top 4 uhakika, walipokosa matokeo mech 3, akadai top 4 ngumu, jana wamempiga fulham ,tayar kelele zimizid,
Halafu wanakauli yao chafu, wanadai hata wawe wabovu vip, liva na arsenal hatuwafung,
Sasa juz wamepata droo wameshangilia kama wameshinda, now wanatamba wanaenda kumfunga liva
Wakat ukweli unajulikana man u hana bek ya kuizuia liver, na mou hajawahi kwenda anfield kutafuta ushind zaid ya sare,
Kingine, wakishanusa top 4 ,kelele zitarud, hivo naiombea liva ampige manyua tena kipigo kikubwa,
Soon atarejea nafas ya 10 ,manaa westham, everton na bmouth wanamvizia wamuweke nyuma yao, na hiyo ndio nafas inayowafaa