Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Napoli Anafia hapa
4-2-3-1
salah
mane firmino shaqir
gin fabinho
robertson vvd matip TAA

alison
mtabadili line Up wee haisaidii nyinyi washabiki kazi yenu kushabikia tu kikosi kazi cha kocha mkuu kinafahamika Hendo, milner, Gin dimba la Kati walioko mbele walewale ,nyuma walewale, jiandaeni kupigwa koni za kutosha na napoli mara zote anatangulia kufunga...
 
Pia niwakumbushe mnaopanga vikosi Champions League sio michezo ya majaribio kama mtu anataka keita, shaqir, fabihno wacheze akawe kocha yeye mwendo ule ule
 
Salah
1544391951492.gif
 
Chama chako tu kinaonyesha ww ni shabik wa yanga sasa LIVERPOOL utaijulia wp ??? Nenda kwa muokota maKopo huko
Sasa kikosi kitakapo toka tukutane hapa tuone Kati yangu na wewe nani anayeijua Liverpool Milner ndani, Hendo ndani na ikiwa hivyo ukubali tu hakuna lolote unalolijua kuhusu Liverpool na mimi ntakubali tena ntakuwa mshabiki wa prison inayoshika mkia Yanga anaongoza ligi ya nchi yako respect respect respect.
 
Sasa kikosi kitakapo toka tukutane hapa tuone Kati yangu na wewe nani anayeijua Liverpool Milner ndani, Hendo ndani na ikiwa hivyo ukubali tu hakuna lolote unalolijua kuhusu Liverpool na mimi ntakubali tena ntakuwa mshabiki wa prison inayoshika mkia Yanga anaongoza ligi ya nchi yako respect respect respect.

See You Wednesday Night at 00:45am
 
Sasa kikosi kitakapo toka tukutane hapa tuone Kati yangu na wewe nani anayeijua Liverpool Milner ndani, Hendo ndani na ikiwa hivyo ukubali tu hakuna lolote unalolijua kuhusu Liverpool na mimi ntakubali tena ntakuwa mshabiki wa prison inayoshika mkia Yanga anaongoza ligi ya nchi yako respect respect respect.
Kupangwa kwa hendo na milner haimaanishi ndo kikosi bora

Ila ni mitazamo ya liverpool echo wakisaidiana na klopp ila ulimwengu mzima unafahamu kuwa hendo si wa kupata namba first11 kwa sasa lfc


Et Yanga sijawahi kuikubal yanga na ligi ya bongo kiujumla
 
Asilimia 70+ wakotayari Kusacrifice CL kwa ajili ya EPL

Hii inaonesha Ni jinsi gani CL is not real matter kwa sasa..

But the big deal is EPL

 
Asilimia 70+ wakotayari Kusacrifice CL kwa ajili ya EPL

Hii inaonesha Ni jinsi gani CL is not real matter kwa sasa..

But the big deal is EPL

Sio kwa sasa tu miaka yote vilabu vya uingereza havina mpango na uefa wao macho kodo epl tu
 
• Alisson Becker has the best save percentage in the Premier League this season, with 86%. 👏

• He became the first player in Liverpool's PL history to remain undefeated in his first 16 matches.

• He has the most clean sheets in the Premier League this season (10)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom