waje wapi...kwa sasa humu watakua wanapita kimya kimya...ugeni mpya ni mashabiki wa Gooners ndio nawaona kutupia maneno ila nao siku yao ya kutoka nduki kama wa Chelshit haipo mbali...Ramli zimeisha mkuu OLLACHUGA. EDEN KIMARIO. AARON njooni muendelee na shughuli yenu ya ramli
si habari njema hata kidogo maana huyu na VVD wana ubia mzuri sana....Klopp confirms that Joe Gomez has suffered an ankle injury and it might not be a minor injury
tungekua chini ya man u maana hata wachezaji wangeshajichokea....Allison is top top of th range GK....kudos to whoeva spotted n made him sign for us th Kops....Bado nawaza hapa tungekua na karius+mignolet golini this season na hii form yetu(hasa first halfs) sjui tungekuwa wapi
Hahaha man!! Yule hendo wa brendan rodgers aliotubeba mpaka the time akaumia tukakosa EPL anarud.. Akaze tu.. Coz i really dont see him getting benched anytime soon.. TumkubaliBtw, our captain had a good game though
amejitahidi today kwa standard yake.
props to him.
Wewe piga kelele, ila muda wakuja kuweka turubai humu , haupo mbaliwaje wapi...kwa sasa humu watakua wanapita kimya kimya...ugeni mpya ni mashabiki wa Gooners ndio nawaona kutupia maneno ila nao siku yao ya kutoka nduki kama wa Chelshit haipo mbali...
dah kweli nmesahau!! ni red card as usualHakuumia alipewa red kizembe
Mechi za ANFIELD kwa akili yako unazihesabu ni mechi ngumuWewe piga kelele, ila muda wakuja kuweka turubai humu , haupo mbali
Soon mtapoteana humu,
Naomba itunze hii COMMENT narudia tena
ITUNZE HII COMMENTView attachment 957613
Hii Ingekuwa tafu kuliko ile ya september ningeogopa lkn kwakuwa ni ... Vp kwanza si ulikua unapiga kelele unampiga man u ??? Imekuaje??? Note: Arsenal nyiny kelele nying mkasahau kwamba Liver na spurs mmewasumbua kwa makosa madogo ya makocha wake hilo unalijua sasa subir uje anfield dadika zakoWewe piga kelele, ila muda wakuja kuweka turubai humu , haupo mbali
Soon mtapoteana humu,
Naomba itunze hii COMMENT narudia tena
ITUNZE HII COMMENTView attachment 957613
adui yako mwombee njaa...hio comment tunza mwenyewe haituhusu, tayari tumeshashinda mbili hivyo kelele za mara mtapoteana humu hazitusumbui..Wewe piga kelele, ila muda wakuja kuweka turubai humu , haupo mbali
Soon mtapoteana humu,
Naomba itunze hii COMMENT narudia tena
ITUNZE HII COMMENTView attachment 957613
Wewe piga kelele, ila muda wakuja kuweka turubai humu , haupo mbali
Soon mtapoteana humu,
Naomba itunze hii COMMENT narudia tena
ITUNZE HII COMMENTView attachment 957613
hakika hilini bonge la middleHahaha man!! Yule hendo wa brendan rodgers aliotubeba mpaka the time akaumia tukakosa EPL anarud.. Akaze tu.. Coz i really dont see him getting benched anytime soon.. Tumkubali