Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahahahah, huyo anatania

Msimu uliopita mlikuwa mnacheza vizuri sana, pressing ya hali ya juu, pasi za haraka, na nafasi za kufunga mlikuwa mnatengeneza nyingi zaidi. Hata Man City alikuwa anapata tabu sana mlipocheza ule mpira wenu dhidi yao.

Baada ya usajili wa January na Summer nikajua sasa Liver mtakuwa hamshikiki
For sure hata mie nimemiss those moments, pamoja na kuwa tulikuwa na beki mbovu lkn tulikuwa tunapiga mpira mnene na mtamu balaa.
 
Napoli anahitajika kupigwa 1-0 tu ili liver tuweze kuvufu. Tatizo sio wachezaj ila Klopp ndio jipu, huyu jamaa kachoka kifikra, nina experience kila anapoweka mildfield flat kama ile ya jana kelele huwa nyingi za mashabiki na mwishon lazima huwa lazima tupoteza mechi tena kibaya mechi muhimu kabisa.

Jumapili na Everton baada ya kelele za jana, Klopp ataweka kikosi kizur hasa pale kati na formation itakuwa nzur ya ushambuliaji. Lakin baada ya mechi hyo utakuja kuona anaweka kikos anachokijua yeye.

Kiufupi huyu kocha ni jipu la majipu yote pale Epl, mi napata hisia huenda anatumika kuhujum team, amespend M200 lakin had leo anachofanya ni usen.g.e tu.

Namuunga Mkono kocha wa Egypt aliyemwambia Salah kuwa endapo liver itakosa kombe mwaka huu ni vyema aondoke coz anajichafulia CV.

3 fonts wetu Salah, Mane, Firmino wanahitaji kuchezeshwa na mildfield zinazojielewa kama Keita Shaqir na fabh na impact huwa kubwa siku zote wakiwepo.

Klopp hana tofauti na Amunike.
 
Uwezekano wa kufuzu upo bado mikononi mwa liverpool lakini haikutakiwa kufuzu kwa namna hii.Tumefanya marekebisho ya usajili kwenye eneo la midfield lakini hatufanyi marekebisho hayo uwanjani.Tunao viungo bora kwenye benchi kuliko waliopo uwanjani.Hili ndilo tatizo kubwa.

Kuhusu kumpumzisha TAA namuunga mkono kocha kwa sababu ya recent perfomance yake pamoja na ubora wa akina Neyma.Ni vigumu Trent kustick kwrnye position yake bila kwenda kushambulia.(His main attribute).Neyma angekuwa huru kukimbia na mpira na kusababisha madhara zaidi.So siwezi laumu kumuweka Gomez namba mbili(His natural number).Na ukifanya hivi ni lazima utamweka Lovren alongside VVD,hilo lipo wazi sana.

Ni vile tu Lovren is "arleady bad" even before the game start.Honestly namuona ameimprove kwa kiasi kikubwa.

Kinachotucost as a team now ni kutotumia wachezaji sahihi kwenye midfield.Hatukuwa nao,tukaona pengo kwa waliokuwepo...kocha akasajili...tena mwingine ni kwa kumaliza biashara mwaka mmoja kabla .....tukafurahi.Cha kusikitisha hatuwatumii!!Kwa nini tuliwanunua?

Excuse ya kusema wanaadapt bado to me is no longer valid kwa sababu wangefanya hivyo kwa kucheza mechi....sio kwa kucheza mazoezi.Hapo ndipo tunapokwama...tutalaumu mabeki...tutalaumu front three lakini tatizo ni hapo kati.Pazito,hapana ubunifu...watu wanasurrender tu mpira kwa kipa ili waonekane hawajapoteza.

Bado nafasi ipo tukisahihisha makosa yetu
 
Wont take them anywhere.

1-0 itaivusha liver to the next level, sababu liver atakuwa kamzid Napoli Goal difference kwa 3, Yani Liver ana magoli 8 na Napoli ana goal 5.

Hivyo liver anaitajika kushinda 1-0, au ikishindikana hivyo napoli apige goli ni lazima basi liver ashinde kwa zaid ya goli 1 (3-1).

Lakini endapo pia Psg atadraw na Red star basi ushindi wowote wa Liver hata kama 2-1 basi utaipa liver nafasi kifuzu.

Muhimu tu liver hatakiwi kupoteza kabisa hiyo game.
 
Through this comments they are proving me right that this is Liver fool fans thread.

Mnajifananisha na Man ambaye keshapita huku nyie mna kibarua na Napoli tena mshinde kwa tofauti ya goli mbili ndio mpite. Heheee.. Mlienda shule kusomea ujinga..??????
Man aende wapi nawe hapo ndo mwisho wake.
 
Napoli anahitajika kupigwa 1-0 tu ili liver tuweze kuvufu. Tatizo sio wachezaj ila Klopp ndio jipu, huyu jamaa kachoka kifikra, nina experience kila anapoweka mildfield flat kama ile ya jana kelele huwa nyingi za mashabiki na mwishon lazima huwa lazima tupoteza mechi tena kibaya mechi muhimu kabisa.

Jumapili na Everton baada ya kelele za jana, Klopp ataweka kikosi kizur hasa pale kati na formation itakuwa nzur ya ushambuliaji. Lakin baada ya mechi hyo utakuja kuona anaweka kikos anachokijua yeye.

Kiufupi huyu kocha ni jipu la majipu yote pale Epl, mi napata hisia huenda anatumika kuhujum team, amespend M200 lakin had leo anachofanya ni usen.g.e tu.

Namuunga Mkono kocha wa Egypt aliyemwambia Salah kuwa endapo liver itakosa kombe mwaka huu ni vyema aondoke coz anajichafulia CV.

3 fonts wetu Salah, Mane, Firmino wanahitaji kuchezeshwa na mildfield zinazojielewa kama Keita Shaqir na fabh na impact huwa kubwa siku zote wakiwepo.

Klopp hana tofauti na Amunike.
Bila kupepesa macho klopp ndo tatizo liver kwa sasa
 
Klopp na pochetino ni waalimu wazuri sana kwenye epl. Ila wote kimbinu naona kama kuna mahali hua wanakwamaga.
 
"Liverpool not ready to win the title" David Moyes.

Aya maneno alisema uyo jamaa..me nazidi kukazia tu.
 
Southern Highland
Liverpool wakishinda 1-0 vs Napoli watakuwa wamefungana karibu kila aspect except magoli ya kufunga ambayo LFC wanayo mengi kuliko Napoli. Napoli wamefunga 7 na LFC 8 wakifunga 1 inakuwa wamefunag 9 hii ndio criteria ya pili ya UEFA kwa timu zilizofungana point baada ya ile ya kufunga. LFC wakishinda kwa tofauti ya goli moja mbali na 1-0 ndio watatolewa kwa sababu ya goli la ugenini
Hahaha unategemea kufuzu kupitia mgongo wa Napoli... wewe unatakiwa ujue kuwa uefa ni oversize kwa liverpool..

Nyie mna wachezaji wa kushiriki ligi tu ..na sio kucheza uefa.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom