lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,479
UEFA hawafuati GD ya kawaida kama timu zimefungana points ila Head-to-Head results1-0 itaivusha liver to the next level, sababu liver atakuwa kamzid Napoli Goal difference kwa 3, Yani Liver ana magoli 8 na Napoli ana goal 5.
Hivyo liver anaitajika kushinda 1-0, au ikishindikana hivyo napoli apige goli ni lazima basi liver ashinde kwa zaid ya goli 1 (3-1).
Lakini endapo pia Psg atadraw na Red star basi ushindi wowote wa Liver hata kama 2-1 basi utaipa liver nafasi kifuzu.
Muhimu tu liver hatakiwi kupoteza kabisa hiyo game.
Kwa case ya Liv na Nap
Napoli alimfunga Liv 1-0 na Liv wakimfunga 1-0 watakuwa wamejibu mashambulizi na hivyo criteria itakayotumika ni timu yenye magoli mengi ya mechi zote kwa sababu namba 1-4 hapo chini watakuwa wamefungana sawa
- Liv akishinda 1.0 Liver watasonga mbele kwa idadi ya magoli 9 dhidi ya 7 ya Napoli katika mechi zote za Group
- Liv wakishinda 2-1, 3-2, 4-3 nk Napoli watasonga mbele kwa sababu ya goli la ugenini (#4 hapo chini)
- Liv wakishinda 3-1, Liv itasonga kwa sababu ya kuwa na GD kubwa katika mechi zao mbili (#2 hapo chini)
Sheria zenyewe za UEFA hizi hapa kwa timu zilizofungana points
- Points in head-to-head matches among tied teams;
- Goal difference in head-to-head matches among tied teams;
- Goals scored in head-to-head matches among tied teams;
- Away goals scored in head-to-head matches among tied teams;

