Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Una shinda kwa taabu mechi 9 ?
Unashinda kwa taabu 12 games unbeatean?Basi aina hii ya ‘taabu ‘ni nzuri sana!
Ukweli unabaki kuwa JK kaifanya Liverpool kuwa ni team bora kabisa,hayo mengine ni yenu!
Huwezi ukacheza vibaya ukashinda 9W.
Hivi huwa unasomaga unachoandika?
Sawa tunyanyue kwapa msimi huu kama kweli tuna bahati kua nae
Mana kila idala kakamilika na pia alisema aulizwe baada ya myaka mitatu
Sasa mliposema mtafunga sita hamkulijua hilo?
Hiyo mwaka jana ulikua na wachezaji gani? taja vikosi ndo uwone kilicho semwa kina fanana au laa
Kwa wapenzi wa vyenga wij mtamuona bonge la mido, wij anangangania mipira, anapoza mashumbilizi, forward wanaweza kujiposition vizuri ili wascore jamaa anaforce show off mpaka forward zinabanwa ndo anatoa Pasi na imekuwa ndo kawaida habadiliki msimu na msimu hapo kwa fabinho tumelamba joker muda ndo utakaosema
Humu ndani naona ni mikiki mikiki, Malafyale anataka wote kwenye forum tuwe watu wa ndiyo mzee, tusikosoe, tusizungumzie weakness za timu, challenges za kikosi, tusifu tu, tusifu tu.
Timu inashinda yes, it's a good thing, lakini hii ndo potential yetu? Kushinda kwa taabu?
Naona tunajitetea kwamba tuna points ngapi, tunaacha kuzungumzia fact kwamba hatuko kwenye League Cup, UEFA tumecheza game 4 (2 wins 2 losses); utetezi hapa vipi?
Timu inacheza under capacity, we are not even 60% of our potential kwa mtazamo wangu, lakini kuna mtu kajifika majukumu ya kukataza wenzake wasitoe mitazamo yao. Ni utterly nonsense kunizuia kutoa mawazo yangu kwenye forum ya namna hii kisa tu eti Klopp anajua Football Management kuliko mimi.
Nadhani kuna umuhimu wa kufungua thread za kusifu na kuabudu timu kwa ajili ya watu kama kina Malafyale, hizi za kutoa opinions in either way haziwafai.
Team ambayo ilipoteza mwaka jana points hadi kwa trashiest Newcastle,Burnley na Watford ndiyo inaitwa nzuri lkn hii yenye kupiga zote trashiest ndiyo team mbaya!!
Mm kama kuna kosa huwa nakosoa kwa haki,nikosoe nn kwa team ambayo inanipa raha kila weekends!?
Under capacity ipi sasa kila almost kila game tunashinda?Over capacity ya mwaka jana ni ipi?Pasi nyingi na kuwa na points 10 fewer kuliko mwaka huu?
Hata mwaka jana CL tulihitaji kumfunga Moscow mechi ya mwisho kusonga mbele,tofauti na mwaka huu ni nn?
Hamna kitu kinaitwa undercapacity kutoka 9W na 3D kutoka kwa wakubwa wenzetu
Mwaka huu tupo sawa kupita maelezo,achana na mambo ya chenga twawala lkn Burnley anapata sare Anfield,Newcastle anaondoka na point!
Hivi Liverpool hii huyu trash Burnley anapata sare Anfield?
Liverpool ni yetu sote, na hatuwezi wote kupewa raha na kitu kimoja.
Kuna wanaopata raha kwa sababu ya points, kuna wanaopata raha kwa sababu ya uzuri wa jinsi timu inavyocheza.
Mourinho aliwahi kufukuzwa Chelsea (first stint) kwa sababu ya mchezo usiovutia, ingawa timu ilikuwa inashinda.
Wazungu wana msemo wao wa "utility is subjective".
So kama kile kinachonipa raha kwenye timu sikioni nina haki ya kuhoji na kulalamika.
Mwenzako hapo juu kaandika takataka kama Klopp sio meneja wa maana eti tulidanganywa!
Wewe pia ni miongoni mwa watu mnao ndka takataka kuhusu Klopp hapa lkn anawanyamazisha week in week out!
Hata movement ya hovyo ya Klopp out ni ww na wenzako ndiyo mlianzisha!
Tatzi ktk ubongo wenu ni kuwaza mpo close kwenye kujua soka kuliko Klopp!
√ Hii kauli ya Kuwa Klopp Anatunyamazisha Hukuanza kuisema Msimu huu, Hata Msimu Uliopita Liverpool ilipoingia Fainali ya CL ulisema maneno kama haya mwishowake ukaishia kumlalamikia Karius.
Lakini mpaka bado tunaongea sasa sijui anatufumba midomo kivipi!!
√ Na Jengine usilete mipasho hapa Bali Itafute hiyo Post na Uilete hapa Niliyosema KLOPP OUT au Niliyosema Klopp Ni Kocha Mbovu... Usilete Ngonjera Bali leta uthibitisho hapa...
Hivi Hiyo unayoiita Movement ya Klopp Out unaiyona wewe tu hapa kwenye huu Uzi? Manake wengine hatuioni wala hatujui kuwa Kuna Movement ya Klopp out!!!
Tokea Klopp aje Liverpool Basi Katika Uzi Huu Sijawahi Kuona Mshabiki Yoyote Kuandika Comment ya KLOPP OUT... Hata hawa Mashabiki waliomo humu wanaweza kuthibitisha hapa kama tuliwahi kusema Klopp out..
Hii Kauli ya KLOPP OUT mwanzilishia wake Ni wewe hapa na kila mtu analijha hilo..
Pale tunapomlalamikia Klopp wewe ndiyo unakuja na mipasho ya Kutwambia tunasema Klopp Out..
Hii habari ya Klopp Out sisi hatuitambui Bali Ni wewe ndiye unayoitambua.
Nimekuelewa mkuuSometimes marumbano yenu hayana tija yoyote
... King Klopp!
In Klopp we trust
Nimekuelewa mkuu
Nafunga haya mambo,sitawaambia tena ‘wanao jua soka kuliko Klopp’
Sorry kwa wote walio kwazika!
Hii ni ligi ya pili kufundisha,na alipo toka aliwanyamazisha BayernEti King Klopp, King asiye na kombe!
Hahaha we jamaa inaonekana ni muumini mzuri sana wa kila umachokiamini na kukipenda.
Hii karama wengine hatukujaaliwa ndiyo maana akizingua tunamchana tu.