Hivi Gini anacheza namba ngapi humo?Leo Klopp kaamua kusikiliza maneno ya mashabiki. Hiyo midfield imekaa mahali pake changamoto tu ni kama wataelewana maana sidhani kama wamewahi kucheza pamoja.
Hivi Gini anacheza namba ngapi humo?
Ata sielewi
For the third time consecutively.....TAA been utter crap again..
twaongoza mpaka mida hii sioni kama ni maajabu au ulitegemea Fulham acharazwe 7....Kesho na fulham
Nayaona maajabu mengine yakienda kutokea
TAA been utter crap again..
We've been exposed by him several time..
Sasa mbona Gini ameganda sana kulia nyma zaidi ya faby nionavyo Gini akipangwa juu team inacheza vyema?Yeye na Fabinho wanacheza same role kwenye DM kwa mfumo Wa 4-2-3-1
kila jambo lina kianzio ngoja tuone mpaka mechi inaisha japo bado hawajawa compact ila sio mbaya sanaLeo Klopp kaamua kusikiliza maneno ya mashabiki. Hiyo midfield imekaa mahali pake changamoto tu ni kama wataelewana maana sidhani kama wamewahi kucheza pamoja.