Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sasa mbona Gini ameganda sana kulia nyma zaidi ya faby nionavyo Gini akipangwa juu team inacheza vyema?

Faby kapewa kazi kubwa badala ya Gini ambae ni mwenyeji hii imekaaje?

Ndiyo DM wanapokuwa 2 mmoja kulia na mwengine kushoto, hata hivyo upande Wa Kulia TAA analeak sana ndiyomana Gini ameegemea zaidi kwa Msada.
 
Fulham wananyimwa goli halali Liverpool wanacheza counter attack wanapata goli

FULHAM.png


Ili kuondosha Hypocrisy ilikuwa na v/s Arsenal uje useme Liverpool Yanyimwa Goli halali la Mane.
 
our present team reminds me of Fergie's United which used to play woefully like this but picking up crucial points, only to become a different animal from the new year until the EPL crown in May.

am not worried one bit as long as we're winning. am sure come January we'll be back to our fluent best.

believe!
 
Ndiyo DM wanapokuwa 2 mmoja kulia na mwengine kushoto, hata hivyo upande Wa Kulia TAA analeak sana ndiyomana Gini ameegemea zaidi kwa Msada.
Kwa maanaa hiyo kocha anaamua kudhoofisha tim kumlinda mchezaji kweli?
Nnamashaka na kocha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom