Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sioni January kuwa Kuna Business yoyote itakayofanyika ndani ya Liverpool...

Anapoulizwa kwenye Press kauli ya Klopp Ni moja tu "Kila Nafasi ina zaidi ya Mchezaji Mmoja"....

Maybe kuna suprise bro? you never know

was told tunaweza kujaribu for a 10

but, i'd like to see wan-bissaka at LFC, hata kama utakuwa summer man.

he's so good, considering his age.
 
Harry Kane with another shit perfomance,

but its Salah who gets the hate from these bitter rival fans

my boy has managed to set his bar too high kwenye huu mpira wa miguu

he is a Super-star.


Kupeleka mashuti kapeleka mkuu, sema ndio hivyo uwezo mdogo.My opinion Waingereza wana talented 9 mmoja tu ! Marcus Rashford !
 
Leo nategemea Mane aongeze mabao ktk tally yake
Bao 2+ zitampa nafasi nzuri zaidi
Mane atafunga,Salah atafunga,Firmino atafunga
Tupo sawa sana!
 
Maybe kuna suprise bro? you never know

was told tunaweza kujaribu for a 10

but, i'd like to see wan-bissaka at LFC, hata kama utakuwa summer man.

he's so good, considering his age.

Mimi Siku Hizi sina imani na usajili Wa Klopp!
Inamaana gani Kupoteza Mamilioni ya £ kusajili Wachezaji then tukaishia Kuwaweka Bench?
Haina haja ya kusajili bora tukae tu tusipoteze hela..
 
Posts zingine bhana!Unaweza jisahau ukafikiri upo kwenye forum ya waganga wa kienyeji!!Credible posts chache saná humu siku hizi.Pamejaa ubishani wa kitoto,ubishi wa kifala na utabiri wa uganga wa kienyeji..It used to be a good place for football discussion though...
 
Posts zingine bhana!Unaweza jisahau ukafikiri upo kwenye forum ya waganga wa kienyeji!!Credible posts chache saná humu siku hizi.Pamejaa ubishani wa kitoto,ubishi wa kifala na utabiri wa uganga wa kienyeji..It used to be a good place for football discussion though...

Sasahivi tumekuwa Wapiga Ramli wakubwa kwenye huu Uzi!!
Tulichobakisha Ni Mambo haya kwa sasa!!

√ Leo tunapiga mtu 4
√ Marahii Nabeb EPL na CL

Na yenye kufanana na Kama hayo.

Ukiuliza ponts wapiga Ramli watakwambia Kama msimu uliopita Tulifika Fainali ya CL kwanini marahii tusibebe??

Yani bora Hata uende Beach ukaogelee utafanya la mana kuliko kusoma comment za wapiga Ramli.

Tuonane saa 15:30 angalau tujifariji
 
Sasahivi tumekuwa Wapiga Ramli wakubwa kwenye huu Uzi!!
Tulichobakisha Ni Mambo haya kwa sasa!!

√ Leo tunapiga mtu 4
√ Marahii Nabeb EPL na CL

Na yenye kufanana na Kama hayo.

Ukiuliza ponts wapiga Ramli watakwambia Kama msimu uliopita Tulifika Fainali ya CL kwanini marahii tusibebe??

Yani bora Hata uende Beach ukaogelee utafanya la mana kuliko kusoma comment za wapiga Ramli.

Tuonane saa 15:30 angalau tujifariji

Mechi ni saa 15:00 kamili mkuu na sio na nusu
 
Sina lawama na kikosi, hope for good perfomance
#YNWA
Screenshot_20181111-140543.jpg
 
Ingawa Fulham naye ni kama alijua vile. Kaona isiwe kesi, kawajazia mabeki tupu. Hapo ngoma draw au Mitrovic atupie cha kubahatisha.
Screenshot_20181111-141044_LiveScore.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom