MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Sioni January kuwa Kuna Business yoyote itakayofanyika ndani ya Liverpool...
Anapoulizwa kwenye Press kauli ya Klopp Ni moja tu "Kila Nafasi ina zaidi ya Mchezaji Mmoja"....
Maybe kuna suprise bro? you never know
was told tunaweza kujaribu for a 10
but, i'd like to see wan-bissaka at LFC, hata kama utakuwa summer man.
he's so good, considering his age.