Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Trent Alexander Arnold: “There is nowhere else I’d rather be than Liverpool. Somewhere I want to stay for the rest of my career is Liverpool."

Its so sad kumkuta Kocha anadestroy Career ya Young player kama Huyu kwa ajili ya 29 years old shit player.

Then someone from nowhere anatuambia not to speak about this because Klopp knows best.

Now two games TAA ni Benchwarmer kisa tu eti Lovren nayeye apate Kucheza.
Two games two clean sheets
Malalamiko yako haya make sense yyt ile
TIA na Gomez wana matatizo yao ya positioning ambayo wame tu cost mechi kadhaa!
Gomez mechi na Chelsea kila saa yupo wrong side,siku ile Willian na Hazard wangekuwa sawa wangeimaliza ile mechi dakika ya 45 tu!
TIA anamuweka mtu ndani na yy anakaa nje,mechi na Man U mfano mzuri
Lovren na VVD ndiyo watu wetu wa nyuma wakiwa wazima!
 
LoooooL
Bro ignore that dude..

unaweza ukakuta unachat/kubishana na mtu kakuzidi miaka 50, na ukawa unamkosea Mungu tu Aisee.

a young dude anayefatilia modern football hawezi kuwa na fikra za ajabu kama za huyo jamaa.
Wewe ndiyo fikra zako za HOVYO za kuona unajua soka kuliko Klopp
Klopp anampa Hendo lkn kavulana kapo kwake huko kanaona kanajua zaidi ya Klopp
Southgate anampa Hendo mbele ya hao Miungu wenu akina Dier lkn eti ww unajua kuliko Southgate
Klopp anampa Lovren kati na VVD lkn nyie ndiyo mnajua zaidi ya Klopp
Nyie tunawapuuza tu,Klopp know better kuliko nyie ambao hamjui lolote kuhusu soka zaidi ya majina!
Vipi siku hizi umeacha kauli yako ya HOVYO ya Klopp out?
 
The Greatest Midfielder Ever in English Football "Le Capitane Hendo" has 6 passes in his locker:

1) Side pass
2) Square pass
3) Back pass
4) Delayed pass
5) Overhit pass
6) Wrong pass


He is our greatest Captain ever
Aliye ingia badala yake anayejua sana mbona hakufanya tuongeze bao?
Upuuzi tu siku hizi hapa unaongezeka
 
• Na Cha Ajabu ni Kuwa Aliumia Chamberlain ikazua taharuki Kwa Washabiki.

• Aliumia Keita ikazua taharuki kwa Washabiki.

• Firmino aliumia Jicho ikazua Taharuki Kwa Washabiki.

• Aliumia VVD ikazua taharuki Kwa Washabiki.

• Aliumia Mane ikazua Taharuki Kwa Washabiki.

• Aliumia Salah ikazua taharuki Kwa Washabiki.

Lakini Kwanini Kuumia Kwa Henderson Juzi imekuwa Ni Kama Blessing Kwa Mashabiki Wengi Wa Liverpool? Kwanini Washabiki Wengi Wa Liverpool Wameoneshwa Kufurahishwa na injury ya Henderson?
Je Mtu hajiulizi tu haya Maswali ili agundue kuwa No one cares about Hendo injury?
Kama ww na genge lako HAMNA
• Na Cha Ajabu ni Kuwa Aliumia Chamberlain ikazua taharuki Kwa Washabiki.

• Aliumia Keita ikazua taharuki kwa Washabiki.

• Firmino aliumia Jicho ikazua Taharuki Kwa Washabiki.

• Aliumia VVD ikazua taharuki Kwa Washabiki.

• Aliumia Mane ikazua Taharuki Kwa Washabiki.

• Aliumia Salah ikazua taharuki Kwa Washabiki.

Lakini Kwanini Kuumia Kwa Henderson Juzi imekuwa Ni Kama Blessing Kwa Mashabiki Wengi Wa Liverpool? Kwanini Washabiki Wengi Wa Liverpool Wameoneshwa Kufurahishwa na injury ya Henderson?
Je Mtu hajiulizi tu haya Maswali ili agundue kuwa No one cares about Hendo injury?
Sema wewe na genge lako mnao jiona mnajua soka menejimenti zaidi ya Klopp ndiyo hamna taharuki kuumia kwa Captain!
Sisi wana Liverpool na kocha wetu tuna taharuki akiumia mchezaji yyt yule hata Origi
Maneno haya kasema Klopp kuhusu Hendo:
Liverpool News: Jordan Henderson still key despite midfield signings - Klopp | Goal.com

Lkn hawa wanao jifanya wanajua zaidi hata ya Klopp ndiyo wanaongea pointless kabisa!
Tunawapuuza
 
**Mane is in contention to play vs Red Star
Keita.

**Henderson are yet to recover.

**Milner and Wijnaldum should be ready to play.
Habari nzuri sana,Mane angekuwepo na Hudd ingekuwa rahisi zaidi kwetu
Mechi hizi mbili za home tunahitaji bao nyingi
Mane is GOOD!
 
**Mane is in contention to play vs Red Star
Keita.

**Henderson are yet to recover.

**Milner and Wijnaldum should be ready to play.

Hiyo ni must win game, hope vijana watatupa ushindi.

Otherwise kundi litakuwa gumu.
 
our front three need to bring back the scoring mojo n really quick maana ubingwa msimu huu si wa kuukosa...wakati tuna struggle kufunga a "new"candidate kuchukua ubingwa wa EPl anakuja kwa kasi aka The Gooners...
We need to see the scoreboard with 2/3/4 goals caution sio haka kamoja ambako kakirudishwa in the dying seconds of any game we are done...
YNWA...
 
Scouting reports zinasema we were scouting Demirbay leo kwenye game yao dhidi ya Lyon.

Wont complain kama akisign but nadhani ametoka kwenye same same knee problems kama za Fekir.

Maybe we want him because of his RC? ni £28m tu.
 
Whats more interesting ni kuwa LFC ni moja ya Clubs ambazo zimeonesha interest kwa Depay..

Man, read somewhere kuwa Utd wana first refusal kuhusu Depay, will be so interesting kama tukiamua kuifollow-up hii deal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom