Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona umepokea kijiti cha washabiki wa Chelsea, ndo walikuwa kila siku wako hapa kupiga ramli.

Sasa hivi wamechoka wanashinda kwao, karibu sana. Endelea kuchangamsha jukwaa, maana najua kwako kunabore ndo maana kutwa uko kwa jirani.
Wewe una andika kimipasho.
 
Kutoka na majeruhi yaliyo patikana kutokana na International games machaguo yamepungua saana kwenye attacking force yetu hata midfield yetu, tuna mechi muhimu saana ambazo tunahitaji ushindi. Kwa line up hii nadhani inaweza kusaidia.


Sturridge Firmino
Shaqiri
Milner Gini
Fabinho

Robertson Lovren Gomez Arnold
Allison

Shaqiri - to be honest sikuwa fan wake hata hizi type of play ila baada ya kuja Liverpool amekuwa na good performance pale anapocheza behind strikers hasa akiwa na free role amekuwa akifanya vizuri sana i think that will be hia suitable place.
 
Kutoka na majeruhi yaliyo patikana kutokana na International games machaguo yamepungua saana kwenye attacking force yetu hata midfield yetu, tuna mechi muhimu saana ambazo tunahitaji ushindi. Kwa line up hii nadhani inaweza kusaidia.


Sturridge Firmino
Shaqiri
Milner Gini
Fabinho

Robertson Lovren Gomez Arnold
Allison

Shaqiri - to be honest sikuwa fan wake hata hizi type of play ila baada ya kuja Liverpool amekuwa na good performance pale anapocheza behind strikers hasa akiwa na free role amekuwa akifanya vizuri sana i think that will be hia suitable place.
Hapo kwa Fabihno ana anza Le Capitane Hendo
3-0 easy kabisa
 
Man, was watching the Eng vs Spain game the other day, and baada ya game, decided kulog-in twitter kuona post-match comments, as i was so impressed na pertomances za Joe Gomez, Winks, Sterling and Rashford..

But, pia decided kusearch comments za England fans (national team) kuona reactions yao kwa kukosekana kwa Henderson kwenye ile game (didnt pick a single LFC fan)

Man, laughed my head off hahahaha..

IMG_1539844439.749444.jpg
IMG_1539844454.077109.jpg
IMG_1539844464.166847.jpg
IMG_1539844479.146214.jpg
IMG_1539844491.678576.jpg
IMG_1539844502.597986.jpg
IMG_1539844520.778744.jpg
IMG_1539844529.248434.jpg
IMG_1539844538.756340.jpg
IMG_1539844550.141082.jpg
IMG_1539844569.807274.jpg
IMG_1539844593.328525.jpg
IMG_1539844607.982002.jpg
 
Kutoka na majeruhi yaliyo patikana kutokana na International games machaguo yamepungua saana kwenye attacking force yetu hata midfield yetu, tuna mechi muhimu saana ambazo tunahitaji ushindi. Kwa line up hii nadhani inaweza kusaidia.


Sturridge Firmino
Shaqiri
Milner Gini
Fabinho

Robertson Lovren Gomez Arnold
Allison

Shaqiri - to be honest sikuwa fan wake hata hizi type of play ila baada ya kuja Liverpool amekuwa na good performance pale anapocheza behind strikers hasa akiwa na free role amekuwa akifanya vizuri sana i think that will be hia suitable place.

Still think kati ya Salah au Mane anaweza kuanza, unless Klopp akitaka kuwapumzisha tu, Salah injury is not that serious tbh..

Koeman said VVD will be fit for this weekend, kurudi kwake Melwood yalikuwa ni makubaliano kati ya LFC na NL, kucheza game moja tu kwenye hii intl break, bado ana matatizo kidogo kwenye his ribs, but should be fine for huddersfield, labda Klopp aamue kumpumzisha pia..

I think sturridge and Firmino upfront together wont work, unless kama Firmino adrop kwenye number 10, then Danny acheze as a lone 9 upfront.
 
Akirudi Henderson England national team huyo WINKS wenu au Didier anarudi bench
Hapa hamna anayejua soka management hata nusu ya Southgate anayempa Hendo kuanza mbele ya Dier au Winks
Kunyweni sumu lkn Hendo anaanza Liverpool hii na England na wanao mpa kuanza nyie hamuwafikii kwa lolote
Hendo is our Captain.Period
Hendo chaguo la kwanza la England national team.Period
Hayo mengine ni yenu msio jua lolote kuhusu soka manejimenti
Tunawapuuza!
 
Lol Top reds getting triggered.

If you ask them a single footie quality of Hendo, they wont tell you nothing..

Footie management? any person who follows football kiundani anajua footie management, what differentiate a Football manager na football followers ni techinical knowledge of the game, commitment, atitude, enthusiasim, proffesional measures/decisions, which vyote unaweza fundishwa kwenye coaching trainings..

Hutakiwi kufundishwa kuhusu footie management ili kujua kwamba Mignolet/Moreno/Henderson/Lallana/Solanke etc are shit footballers lol.

Ask these top reds to give you one good footie attribute ya hendo na wataishia kukwambia he’s the captain of LFC, and getting picked by Klopp and Southgate as if those are his football qualities.
 
Man, for the past few weeks, tumekuwa linked na players kama Depay/Martial/Bergwjin/Insigne etc, hawa wote ni LWs, same postion anayocheza Mane.

Mane bado hajasign extension yake mpaka sasa, imepita muda mrefu tangu tusikie habari za mkataba mpya? Je mazungumzo yamekwama? Kipi kinazuia? Mimi nahisi ni pesa, Mane atakuwa kademand high wages, na hii ni baada ya kuona wenzake Salah na Boby wamepata mikataba mizuri recently, but again hizi links za Madrid na PSG pia nazo zinaweza zikawa na kitu ndani yake.

Hope he stays man, na pia i pray hawa players ambao tupo linked nao wawe ni back up au kwaajili ya squad, but honestly cant See players kama Depay na Insigne waje LFC kukaa bench, even Martial ambaye anataka kuondoka Utd kwasababu ya playing time.
 
Naona Aroon wa Arsenal na Malafyale wa Liverpool mmekutana na wote mnachekana
Mmoja hajawahi kutwa EPL na mwingine hajawahi kutwaa UEFA
Nawasalimu tu mko poa washikaji
 
Looks like tutakuwa na saga nyingine next summer, Mane aside, but inaonekana kuwa Barca will come for Firmino next summer.

Owen and Torres destroyed my soul when they left, dont know itakuwaje kama Firmino ataondoka Aisee, Bobby ni boyhood Barca fan too..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom