Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu we acha tu. Yaani watu wanapoona hawana uwezo wa kupata vitu vya msingi (trophies) wanapenda kujivunia virekodi vidogo vidogo

Kwa Kiswahili hapa ndiyo umesema nini mkuu.

Kwa Moyo Wangu Wote Ninaipongeza (Chelsea) Kwa Kushinda Kombe Linaloitwa "Kumfunga Liverpool Ndani Ya Anfield 2018"
 
Kwa Moyo Wangu Wote Ninaipongeza (Chelsea) Kwa Kushinda Kombe Linaloitwa "Kumfunga Liverpool Ndani Ya Anfield 2018"
Asante kwa tafsiri mkuu.

Hebu nikumbushe midfield yenu huwa wapo nani?
Wale watatu...
 

Moreno Halaumiwi Kwa goli tu! Bali analaumiwa Kwa Performance Yake Kwa Ujumla Kuwa Upande Wake ulikuwa Ni accident waiting to happen.

Pia Kosa la Mwanzo halihalalishi la Pili.
 
Moreno Halaumiwi Kwa goli tu! Bali analaumiwa Kwa Performance Yake Kwa Ujumla Kuwa Upande Wake ulikuwa Ni accident waiting to happen.

Pia Kosa la Mwanzo halihalalishi la Pili.
I just think he is being unfairly blamed.
 
Washabiki Wa Chelsea Wamejenga Kambi Hapa Kwa Kututoa Kwenye Mickey Mouse Cup lakini wkumbuke Kuwa their happiness will survive Kwa short period of time. Coz at the Weekend no one know what will happen!!!

Sijawahi kukufahamu ukiandika Kiiingereza kibovu ila nahisi kipigo cha jana cha Mickey Mouse kimekugusa sana.
 
Washabiki Wa Chelsea Wamejenga Kambi Hapa Kwa Kututoa Kwenye Mickey Mouse Cup lakini wkumbuke Kuwa their happiness will survive Kwa short period of time. Coz at the Weekend no one know what will happen!!!
mkuu wamehamia mazima sipati picha baada ya dakika 90+ mechi ya Jmosi kama nawaona vileee
 
Acheni kujibishana na washabiki wa kijitimu kidogo kama chelsea, level ya LIVERPOOL ni REAL MADRID, MAN U,JUVENTUS,BARCELONA .hivi vichelsea wachieni leicester na notengham forest ndio wanalingana mafanikio yao.
 
Mbona uefa huongelei kiongozi? Usisahau liverpool ndo klabu inayoongoza kwa kuchukua uefa kwa vilabu vya england
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…