Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu nadhani mngewaacha wabwabwaje tu humu mitandaoni sisi tumalize kazi uwanjani.

Sipatagi kabisa mzuka wa kubishana na watu wanaopinga facts. Nikishaona huyo kichwa ngumu huwa naachana nao tu nisije kuonekana na mimi mjinga.


Sisi tushikamane kwa hali zote tuishangilie timu yetu. Maneno mengi kumwelewesha chizi mwisho wa siku utaonekana wewe ndio chizi.
 
nice one esp hapo kwenye average possession na bado pointi tumepata za kutosha so far....ile heavy metal ya Klopp kwa sasa haija applied ila ubao wa pointi unasoma poaaaa...YNWA
 
kumkosa Lukaku kuliwaumiza sana...
 
Mkuu, hao wamemsahauje Shaqiri hapo kwenye assists?!
 
Kadri siku zinavyosogea nashindwa kutofautisha alichoandika Mentor, eden kimario na Ollachuga Oc.

Nahisi kama wanapokezana kuja kucoment hapa kwenye huu uzi.
kwa "chuki" zao kwa kweli ni ngumu kuwatofautisha ila mpaka tunafika katikati ya ligi hapa hutawasikia tena watakua wanachungulia na kutoka mbio maana kila wakitabiri ooh leo mnafungwo sis haoo ushindi....
in Klopp n his Red Army we Trust..YNWA
 
Hii FiFA XI ni kituko tupu wala haina reflection to reality

Yani Courtois hayupo ambaye ndie kipa bora ila De gea ambaye hata ktk 3 bora hakuwepo kuwania tuzo kaingia,Dani alves ambaye hajafanya la maana na alikuwa majeruh kaingia mbele ya Carvjal,Kimmich [emoji23][emoji23] a disgrace,Mo Salah ambaye kafunga goli nying sana last season na kuwa ktk 3 bora ya Uefa naye hayupo [emoji23][emoji23][emoji23]

Disgrace
 

Ila Puskás Award umeona iko sawa tu kwa kua ni Salah,nenda kaangalie migoli ambayo ilikuwemo kwenye kinyang'anyiro alafu rudi uwe mkweli kama alistahili.
Tukiamua kukosoa ni vema tukakosoa vyote hata ambavyo vimetubeba sisi ndio sifa ya kua mkweli,nakubaliana na wewe kikosi kina mapungufu pia ila hayakuishia hapo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…