Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna tetesi za Pavard huyu wa France kuja Liverpool ni bora aje tu binafsi sijawahi kumuelewa Trent kabisaa
 
Huyu ndie aliempa rashford magoli mawili that match ot kama mnakumbuka msimu uliopita

Na Gomez last season alimpa Goli Sanchez tukatoa 3 - 3 na Arsenal..
Pia Alisson Aliwapa goli Lecister...
Kwahiyo na hawa Tusiwaelewe tuwaache tusajili wengine.

Wewe Mchezaji Wa Miaka 19 anayejifunza unajudge Kwa One game mistake?

Unapomchambua Mchezaji Jaribu Kuangalia Ni Nini anacho-Offer uwanjani na Nini Weakness Yake.

Kutokezea Mchezaji akafanya Mistake ambayo ikapelekea goli Haimaanishi Kuwa Haeleweki Kwani Hata Hao Mabeki Wakubwa Wote Utawakutia Wanazo Record za Own goal na blunder nyingi tu.

Kama Ni Hivyo Hata Gerrard hakuwa Mchezaji Kwani Alitunyima Ubingwa Kwa Kuwapa Goli Chelsea.

Riise Hakuwa Mchezaji Aliwapa Goli la Ugenini Chelsea Kwa Kujifunga Kwenye CL.

Jaribu Kudadavua Uwezo Wa Mchezaji Kimpira na Sio Kimtazamo.

Hebu eleza Ni Kipi hasa Kinachomfanya TAA awe haeleweki Wakati Tunakumbukumbu Ya Kuwanyamazisha Kina Zaha na Sane?
 
Mane ana thamani ndogo lakini si Kwa Willian.. Bei ya Mane unanunua Willian Watatu na Giroud mmoja.
Mane bado hajafikia thamani ya mchezaji yeyote wa Chelsea.

Miaka miwili badae Mane na Ampadu wataweza kununuliwa/uzwa kwa bei moja.
 
....Coutinho aliuzwa mil 140, beki bora sokoni anauzwa mil 75, Mane anafuatia kwa mabao baada ya Salah na baada ya mechi nne za ufunguzi anaongoza kwa magoli na ni mchezaji bora wa mwezi. Bado hana thamani !?
Mane nje ya uwanja thamani yake bado ni ndogo sana.
 
Hili jukaaa watu wanapiga soga sana .
Mbna majukwaa yetu yemetulia hatuna presha
Ila huku kwa majiran full kelele.
GGMU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom