Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,592
- 81,574
Naona unafukua makaburi [emoji23]Nani kashangilia ukifungwa goli?
Liverpool ni timu ya kutoa presha kweli kwenye ligi?
Uzembe anaofanya Allison usisemwe?
Una uhakika gani na gemu zinazofuata?
Acha unazi mkuu.[emoji3] [emoji3]
Sasa Wewe kushinda gemu nne tu basi ushaona timu iko vizuri. Chelsea iliyozoea kushinda gemu kumi na tatu/nne uko mfululizo itakuaje? Mbona hujakaa chini na kutathmini upana wa kikosi ulichonacho? Je ukishinda kama Chelsea game kumi mfululizo ci utaona ushakuwa bingwa?Kinacho nifurahisha kwenye hii liverpool ni kua tunaweza kushinda tukiwa vibaya ani we are winning "ugly".msimu uliopita mechi kma ya jana au ile ya brighton ilikua ni suluhu au tunafungwa. So the ability of winning the way we are winning ni nzuri na ndo ubingwa unachukuliwa hivyo.
I also think kwa ss hvi hatuchezi ile free flowing football kwa vile wachezaji wengi hawakupata pre season vizuri kwa ajili ya worldcup na ndo mana hata pep alisema "the season starts after international break" kua mpka wakirudi ndo msimu utaanza rasmi kwa sababu wachezaji watakua na match sharpness yakutosha.mfano mzuri ni bobby firmino amekua anafanya kazi nzuri tukiwa tuna defend lakini ule udambwi udambwi wake bado hatujauona vizuri na its because of the lack ya pre season.
Nimalizie kwa kusema THIS LIVERPOOL TEAM IS CAPABLE OF ANYTHING. yajayo yanafurahisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu mbona unaongelea mambo ya misimu ya nyuma? Kwani hizo game kumi nangapi ulizowahi kushinda zinakusaidia nini msimu huu?Sasa Wewe kushinda gemu nne tu basi ushaona timu iko vizuri. Chelsea iliyozoea kushinda gemu kumi na tatu/nne uko mfululizo itakuaje? Mbona hujakaa chini na kutathmini upana wa kikosi ulichonacho? Je ukishinda kama Chelsea game kumi mfululizo ci utaona ushakuwa bingwa?
Enewei Sema ni vitu ambavo hamkuzoea.[emoji3] [emoji3]
Ahahaha team ambayo Aube alikosa bao 3 za wazi yy na kipa ndiyo uifunge Liverpool hii?Hahaha kama mambo yangekuwa mepesi hivi basi liverpool ingekuwa bingwa kila msimu.
Sidhani kama liverpool wana kikosi cha kupiga hata shot on target mbele ya Sarri.
Klopp ana wakati mgumu sana.[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sarriball haiwezi kupa ubingwa hivi karibuni kaka
Watch this space bro.Sarriball haiwezi kupa ubingwa hivi karibuni kaka
Njoo Liverpool ule raha
Mara ya mwisho kocha wako kachukua kombe lolote ni lini?Sasa Wewe kushinda gemu nne tu basi ushaona timu iko vizuri. Chelsea iliyozoea kushinda gemu kumi na tatu/nne uko mfululizo itakuaje? Mbona hujakaa chini na kutathmini upana wa kikosi ulichonacho? Je ukishinda kama Chelsea game kumi mfululizo ci utaona ushakuwa bingwa?
Enewei Sema ni vitu ambavo hamkuzoea.[emoji3] [emoji3]
Liverpool hii inifunge goli tatu??? hahaha kuwa siriyasi mkuu. ushindwe kumfunga Leicester City izo goli tatu kwangu ndo utaweza? wewe jiandae kisakolojia hii september utapoteza zaid ya gemu tatu.Ahahaha team ambayo Aube alikosa bao 3 za wazi yy na kipa ndiyo uifunge Liverpool hii?
Ukikoswa sana ni 3-0
Najaribu kuonesha ubovu wa timu yenu.Sasa mkuu mbona unaongelea mambo ya misimu ya nyuma? Kwani hizo game kumi nangapi ulizowahi kushinda zinakusaidia nini msimu huu?
Kani sisi LFC hatujawahi kushinda hizo game 10+ on a streak?
Najaribu kuonesha ubovu wa timu yenu.
Timu yako wachezaji ni wawili tu
Ngolo na Hazard
Wengine wote magarasa tu
Ukimuondoa VVD, Mane na Salah utabakiwa ni kitu gani cha ziada apo Liverpool?Timu yako wachezaji ni wawili tu
Ngolo na Hazard
Wengine wote magarasa tu
Keita,gini,firmino au ambacho huelew niniUkimuondoa VVD, Mane na Salah utabakiwa ni kitu gani cha ziada apo Liverpool?
Ukimuondoa VVD, Mane na Salah utabakiwa ni kitu gani cha ziada apo Liverpool?
Let me settle the debateKeita,gini,firmino au ambacho huelew nini
[emoji28] [emoji28] kaelewa tyrLet me settle the debate
Allison vs kepa allison wins
Azplicueta vs TAA TAA wins
Van dijk vs rudiger hata sijibu[emoji23]
Luiz vs lovren uwezo sawa tu
Robertson vs alonso hard,almost equal
Gini vs jorginho jorginho mnyama
Kante vs milner tumpe kante
Kovacic vs keita naby deco mnyama
Hazard vs mane .........
Salah vs willian MO SALAH
firmino vs ushuzi BOBBY FIRMINO
Hope its settled[emoji5]
[emoji28] [emoji28] kaelewa tyr
Kule Uholanzi kuna uduanzi sanaJambo pekee ninaloliomba Kwasasa Ni Kuwa Wachezaji Wetu Wote Walioko Timu Ya Taifa Waishie Kukaa Benchi Na Hata Mmoja Asipewe Namba Ya Kucheza Tmu ya Taifa.
Reason Behind: Sitaki injury