Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Neymar Jr atabiri Liverpool kutomaliza ndani ya top four msimu huu.


According to the Daily Express, he was asked who he thinks will win the Premier League.

“Who will win it? Woah that's difficult,” said Neymar. “It's very hard, very difficult, but Manchester City will win it.

“Second will be United, third is Chelsea. Fourth is Tottenham.”

When pressed on the matter, Neymar confirmed “no Liverpool”



Sent using Jamii Forums mobile app
The guy is complete jelous of Firmihno and Allison. Neymar should leave us alone, he better continue with his diving and crying like baby.
 
The guy is complete jelous of Firmihno and Allison. Neymar should leave us alone, he better continue with his diving and crying like baby.
Why leave us alone? Yeye kaulizwa swali, amerespond kwa mtazamo wake.

Hatuwezi kuwa timu ambayo kila mmoja anaitabiria ushindi, na mara nyingi ukisifiwa na kila mmoja utaharibu, wapinzani lazima wawepo ili ikupe hamasa ya kuwa-prove tofauti.

Ni kazi yetu kufight ili mwisho wa siku tumkumbushe.

Na kwa sababu in 2 weeks atakuwa Anfield, tukomae kumkumbusha kwamba sisi ni timu ngumu kwa kumfunga.
 
Why leave us alone? Yeye kaulizwa swali, amerespond kwa mtazamo wake.

Hatuwezi kuwa timu ambayo kila mmoja anaitabiria ushindi, na mara nyingi ukisifiwa na kila mmoja utaharibu, wapinzani lazima wawepo ili ikupe hamasa ya kuwa-prove tofauti.

Ni kazi yetu kufight ili mwisho wa siku tumkumbushe.

Na kwa sababu in 2 weeks atakuwa Anfield, tukomae kumkumbusha kwamba sisi ni timu ngumu kwa kumfunga.
I told him to leave us alone simply he wants to play minded game on us. He's just saying so that Liverpool would come in pressure while playing PSG; against Him. Just a casual word's battle.
YNWA
 
I told him to leave us alone simply he wants to play minded game on us. He's just saying so that Liverpool would come in pressure while playing PSG; against Him. Just a casual word's battle.
YNWA

He won't do that until we teach him who we are on the pitch.

So, we just need to let him talk, to give us more reasons and energy on why it is crucial to win that game.
 
Ni utabiri wake tu, huu unawza pia kuendana na mapenzi yake binafsi na baadhi ya factors ambazo hatuzijui, hakuna ulazima wa utabiri wake kuwa ni wa kweli, ukute hapendani na Firmino akaamua kuichukia timu nzima ya Liver😎

Bado Ninaheshimu Mawazo Yake
 
Kwa hiyo kwa sababu anajua kuliko sote:
- Tuache kumkosoa?
- Tuache kutoa maoni yetu juu ya timu?
Unamkosoa vipi wkt hujui lolote kuhusu soka management?
Ni sawa na ww sio medical doctor unamkosa Doctor kwa operation anazofanya
UNARUHUSIWA kutoa maoni kama shabiki tu
Mambo ya utawala wa soka ni mambo ya kitaalam ya kusomea darasani sio ushabiki,Klopp anayemkubali Hendo ni mtaalam
 
Unamkosoa vipi wkt hujui lolote kuhusu soka management?
Ni sawa na ww sio medical doctor unamkosa Doctor kwa operation anazofanya
UNARUHUSIWA kutoa maoni kama shabiki tu
Mambo ya utawala wa soka ni mambo ya kitaalam ya kusomea darasani sio ushabiki,Klopp anayemkubali Hendo ni mtaalam

Maoni, kama mshabiki wa soka nina uhuru wa kutoa maoni yangu kwa chochote kile ninachoona kiko sawa au hakiko sawa kwa jinsi ninavyoona mimi.

Swala la Hendo kuwa mbovu limeongelewa sana, with Facts, na si humu JF tu, forums kibao ambazo zina baadhi ya pro football analysts wanaongea.

Hii ni open forum, na ina watu wenye different minds, unapokuja na eti Klopp hatuwezi kumkosoa ni wewe na hatukuzuii kutomkosoa, vile vile hata wewe huwezi kutuzuia kumkosoa, mimi naangalia game natoa opinion zangu objectively, unaweza kukosoa nilichokosoa lakini hutakuwa fair kusema eti ninayemkosoa kasoma zaidi yangu.

Umeleta mfano wa Doctor na operations; kuna kipindi (back 2009 au 2010) kuna Doctor alimpasua kichwa mgonjwa wa mguu na yule wa kichwa akapasuliwa mguu, hutakiwi kukosoa?
 
Maoni, kama mshabiki wa soka nina uhuru wa kutoa maoni yangu kwa chochote kile ninachoona kiko sawa au hakiko sawa kwa jinsi ninavyoona mimi.

Swala la Hendo kuwa mbovu limeongelewa sana, with Facts, na si humu JF tu, forums kibao ambazo zina baadhi ya pro football analysts wanaongea.

Hii ni open forum, na ina watu wenye different minds, unapokuja na eti Klopp hatuwezi kumkosoa ni wewe na hatukuzuii kutomkosoa, vile vile hata wewe huwezi kutuzuia kumkosoa, mimi naangalia game natoa opinion zangu objectively, unaweza kukosoa nilichokosoa lakini hutakuwa fair kusema eti ninayemkosoa kasoma zaidi yangu.

Umeleta mfano wa Doctor na operations; kuna kipindi (back 2009 au 2010) kuna Doctor alimpasua kichwa mgonjwa wa mguu na yule wa kichwa akapasuliwa mguu, hutakiwi kukosoa?
Maoni yako huweai pingwa
Lkn maoni hayawezi yazidi mambo ya kitaalam
Kupewa mkataba mrefu Hendo ni suala la evaluation ya kitaalam
 
Maoni, kama mshabiki wa soka nina uhuru wa kutoa maoni yangu kwa chochote kile ninachoona kiko sawa au hakiko sawa kwa jinsi ninavyoona mimi.

Swala la Hendo kuwa mbovu limeongelewa sana, with Facts, na si humu JF tu, forums kibao ambazo zina baadhi ya pro football analysts wanaongea.

Hii ni open forum, na ina watu wenye different minds, unapokuja na eti Klopp hatuwezi kumkosoa ni wewe na hatukuzuii kutomkosoa, vile vile hata wewe huwezi kutuzuia kumkosoa, mimi naangalia game natoa opinion zangu objectively, unaweza kukosoa nilichokosoa lakini hutakuwa fair kusema eti ninayemkosoa kasoma zaidi yangu.

Umeleta mfano wa Doctor na operations; kuna kipindi (back 2009 au 2010) kuna Doctor alimpasua kichwa mgonjwa wa mguu na yule wa kichwa akapasuliwa mguu, hutakiwi kukosoa?
Maoni yako huweai pingwa
Lkn maoni hayawezi yazidi mambo ya kitaalam
Kupewa mkataba mrefu Hendo ni suala la evaluation ya kitaalam
Napenda mnavyobishana bila kutukanana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LIVERPOOL ace Simon Mignolet has been ruled out of international duty with Belgium and returned to Merseyside.
 
LIVERPOOL ace Simon Mignolet has been ruled out of international duty with Belgium and returned to Merseyside.

Na Lallana pia amerudishwa baada ya kuumia akiwa timu ya Taifa! Huyu Lallana Kwa injuries anazopata Ni Bora Angetokea Muengereza Mwenziwe Akamshauri Astaafu Kucheza Mpira Na Afanye Mafunzo ya Ukocha au Urefa.
 
Adrien Rabiot may be added in Liverpool team in January TW.his contract with PSG is expiring in 2019
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom