Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Napoli ipi hiyo ya kumfunga Liverpool aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kama kawaida yenu, mimi nasubirigi pale mnaporudi kusema mmebahatisha.

Otherwise jiandae, tunakutana Mara 2 mwezi huu.
 
The unbeaten SG8
Steven Gerrard as Rangers FC manager:
12 Matches
6 Wins
6 Draws
0 Defeats
18 Goals Scored
8 Goals Conceded
Unbeaten in SPFL.
Qualified for Europa League Group Stage.
What. A. Start.
 
Kuendana na comment ya jana ya Klopp juu ya
Mignolet na alichopost Paul Joyce leo
inaonekana Simon Mignolet alikataa kujiunga
Fulham ili aendelee kula mshahara wake
mnono Liverpool kuliko ule ambao angeenda
kula kule Fulham.
Pia kwa Lazar Markovic ameamua pia
aumalizie mkataba wake wa Liverpool kisha
mwishoni mwa msimu atakuwa mchezaji huru.
Hii inaitwa Money kwanza career baadae.
 
Utabiri wa gemu ya leo na Leicester City vipi...mimi naona tunatengeneza clean sheet nyingine.
 
Hapa umechambua kishabiki sana binafsi psg na napoli si timu za kuisumbua liverpool labda klopp alale
 

Priority yetu ni UCLna EPL tu
Kama unaijua history ya Liverpool toka 1970s utaelewa hilo
Hizo Carabao na FA tunawaachia nyie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…