SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
4-3-3 haitufai
Milner is a new midfield "marquee" signing.Na Ndiyomana Tokea aliposajiliwa Liverpool basi My Favourable Liverpool player Ni Milner.
Bado Brighton waifanye kazi yao baadae
Tutaheshimiana tu
E&K
ukitaka kuchukua EPL trophy, lazima ku balansisha mambo kwenye hii marathon.... la sivyo come January you're out of steam!Toka ligi imeanza nimewaangalia liver. Nini kimetokea ktk pressing game? Hawachezi tena hii kitu au ndio mabadiliko? Mpira wao unaboa kiasi fulani ingawa matokeo yanapatikana.
4-3-3 haitufai
Mambo ya kitoto alikuwa nayo ni yapi?ukitaka kuchukua EPL trophy, lazima ku balansisha mambo kwenye hii marathon.... la sivyo come January you're out of steam!
mimi msimu huu ninamuelewa sana Klopp. ameanza kuacha mambo ya kitoto.
Mbona tumecheza vizuri tu Mkuu na tumefanya Mashambulizi mengi tu.
Si kwamba Kila Siku tutashinda 5 au 4. Kuna Siku Kama hivi tunashinda 1, Siku nyengine Tutadraw, Na Luna Siku tutafungwa hasa.
ukitaka kuchukua EPL trophy, lazima ku balansisha mambo kwenye hii marathon.... la sivyo come January you're out of steam!
mimi msimu huu ninamuelewa sana Klopp. ameanza kuacha mambo ya kitoto.
true. lazima kuwe na balance katika uchezaji.Mbona tumecheza vizuri tu Mkuu na tumefanya Mashambulizi mengi tu.
Si kwamba Kila Siku tutashinda 5 au 4. Kuna Siku Kama hivi tunashinda 1, Siku nyengine Tutadraw, Na Luna Siku tutafungwa hasa.
Huwezi Kumuelewa kwa sababu umetanguliza chuki zako kop yule ni mtu muhimu sanaSasa Mr Backpass aliingia kufanya nini!? Yaani jamaa sijawahi kumuelewa kabisa....
Saves kama hizi ndio mwisho wa ligi unakuja angalia na kuona umuhimu wa kipa bora.Hii save ya kipa kweli inapendeza