Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kumbuka huyo huyo Allison alifungwa na Mane na Salah goli tano wakati akiwa hapo hapo Roma kwa iyo sio kipa wa kusema kuwa anaweza kuwa kipa bora wa EPL ..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa Siku Hile Roma Hata Wangelimueka De Gea Wa Last season (sio huyu Wa sease hii) basi tungeliwafunga 5 au Zaidi Kwani Tuliwazidi Kila idara kiasi ya Kwamba Kipa hakuwa na namna ya Kuweza Kudhibiti chochote kile.
 
Nadhani Umesahau Kuwa Jürgen Klopp amebeba Bundes Liga 2 alipokuwa Dortmund.

Na vilevile Hukumbuki Kuwa Sarri sasa ana Umri Wa Miaka 67 akiwa Hajawahi Kubeba Kikombe Cha Aina Yoyote Katika Maisha Yake Yote Aliyofundisha Mpira.
Angalia timu alizofundisha Sarri na wachezaji alokuwa nao ..pia angalia timu pia kwa Klopp ..Although Klopp ni kocha mzuri pengine kuliko Sarri ...lakini haimanishi kuwa Sarri hatabadilisha history yake. Alipoitoa Napoli na alipoifikisha ni pazuri sana. Hivyo hivyo alivyofanya Klopp.

Lakini huu unaweza kuwa msimu mzuri kwa Sarri ...pia kumbuka England kuna options nying za makombe kuliko italy, lakini Klopp hajabeba hata moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia timu alizofundisha Sarri na wachezaji alokuwa nao ..pia angalia timu pia kwa Klopp ..Although Klopp ni kocha mzuri pengine kuliko Sarri ...lakini haimanishi kuwa Sarri hatabadilisha history yake. Alipoitoa Napoli na alipoifikisha ni pazuri sana. Hivyo hivyo alivyofanya Klopp.

Lakini huu unaweza kuwa msimu mzuri kwa Sarri ...pia kumbuka England kuna options nying za makombe kuliko italy, lakini Klopp hajabeba hata moja.

Sent using Jamii Forums mobile app

There are 6 tittle contenders in EPL.
There are only 2 title contenders in Serie A na bado kashindwa sasa hizo options sijui umezitoa wapi mwenzetu
 
FSG waliinunua Liverpool FC Kwa £300m tu. Na sasahivi Wanauza Asilimia 15% tu ya Hisa zao Kwa £300m. Inamaana Hawa Jamaa Wakifanikiwa Kupata Offer itamaanisha Kuwa Wamesharudisha £300m Walizoinunulia, Na sasahivi Wanaimiliki Liverpool bure bila ya Pesa yoyote ya Kununuli.

FSG wamefanya biashara nzuri.
 
Kumtoa keita kumueka jordan henderson/lallana/fabinho.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hilo sio Depth Mkuu! Depth Ni Kumtoa Benzema ukaingiza Bale.
Huwezi Mtoa Keita ukamuingia Lallana au Henderson halafu Ukasema Depth. Wala Huwezi Kumtoa Mane ukamuingiza Sturridge halafu Ukasema Depth.

Depth Ni Kuwa Una Bench Strong kiasi Ya Kwamba Unatoa Mchezaji na Unayemuingia Anaoffer Mambo bila Ya Kuona Mapungufu ya aliyetoka.

Kwamfano Man City Wanamtoa De Bruyne Anaingia Mahrez.
Wanamtoa Sterling anaingia Bernardo Silva.
Wanamtoa David Silver Anaingia Guandogan.. Hili ndiyo Depth Mkuu.
Lakini Tunamtoa Salah anaingia Xhaqiri,
Tunamtoa Firmino anaingia Solanke.
Tunamtoa Mane anaingia Surridge..
Wapi na Wapi hapo kinachoweza kufanana.

Mkuu sisi Tunawachezaji Wengi Sana Kwenye Bench zaidi ya 15 lakini Ni Shit players na sio Depth.

Mkuu Hapo Hatuna Depth Na Ndiyomana Pale tunapotarajia Ubingwa basi Huwa Tunaomba Tusipate injury.
 
Naona Mpaka hii Half-time Man City kabanwa Korodani na Kibonde ndiyokwanza 0 - 0
 
Lakini huwemfananisha na Arrizabalaga
Hata hivyo ni mapema sana kusema hivyo kwa sababu kwanza wote ndo wameingia EPL msimu huu ..hata hivyo hakukuwa na haja ya kumnunua Uyu Allison wakati Klopp anasifika kwa kuwajenga wachezaji. Sasa kwann alishindwa kumjengea komfidensi ya kutosha Karius? akakimbilia kumnunua kipa mwingine kwa gharama kubwa tu!

Ukiangalia takwimu tu ndgo kati ya Allison na Karius hawajapishana sana, hivyo hakukuwa na haja ya kumnunua huyu Allison. Klopp angeweza kumjenga tu Karius na kumwaminisha kwa nyie mashabiki.
Screenshot_2018-08-25-15-06-55.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeangalia game ya Wolves vs Man City
Huyu beki Cordy ni outstanding,alikuwa kwetu huyu
Jamani Man City mwaka huu mhh
 
Hata hivyo ni mapema sana kusema hivyo kwa sababu kwanza wote ndo wameingia EPL msimu huu ..hata hivyo hakukuwa na haja ya kumnunua Uyu Allison wakati Klopp anasifika kwa kuwajenga wachezaji. Sasa kwann alishindwa kumjengea komfidensi ya kutosha Karius? akakimbilia kumnunua kipa mwingine kwa gharama kubwa tu!

Ukiangalia takwimu tu ndgo kati ya Allison na Karius hawajapishana sana, hivyo hakukuwa na haja ya kumnunua huyu Allison. Klopp angeweza kumjenga tu Karius na kumwaminisha kwa nyie mashabiki.
View attachment 846668

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu Karius Yupo Sokoni Kwasasa Kama Vipi Mnunueni Nyinyi Ni Kipa Bora huyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom