Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

The only players ambao siwaamini kwenye team mpaka sasa hivi ni Matip & Lallana!!

I just pray Klopp afanye sub zake zote + rotation za wachezaj but these two guys wasihusishwe kwenye big games!!

Maybe waje kuni prove wrong
 
Kiukweli Katika Kuona Huwa Wengi Tunatofautiana Utazamaji wetu Wa Mpira.
Lakini Mimi mwenzenu sijaona tatizo lolote jinsi tulivyocheza Leo.
Nilichoona Ni Kwamba Approach waliyokujanayo BHA sio ya kawaida tu.
U are right mkuu!! Kama unakumbuka alot of games last season ambazo zilikua zinakarbiana na UCL games tulicheza the same way!! hii inafanya wachezaj kutokuchoka mapema na kwenda na form ya mchezo
 
Huyu Becker akiendeleza utoto aliofanya leo yatamkuta ya Karius soon.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijaona tatizo.
Modern game has changed so much.
Kipa sio tena kunyaka na kubutua au kuokoa kwa kupiga mpira mbele bila purpose yoyote.
Kipa ni extra man kwenye central defenders.
Nimemwelewa Pep kwa nini amemsajili yule mbrazil aliye nae sasa hivi.
As long as he’s confident with himself shwari tuu
 
Tumemaliza August vyema tu! Lakini Wakuu tujiandae Kipindi cha September sio Siri tuna Ratiba Ngumu Sana Kwa Mechi zote 4.

√ 1 – Leicester City (A)
√ 15 – Tottenham Hotspur (A)
√ 22 – Southampton (H)
√ 29 – Chelsea (A)
 
Tumemaliza August vyema tu! Lakini Wakuu tujiandae Kipindi cha September sio Siri tuna Ratiba Ngumu Sana Kwa Mechi zote 4.

√ 1 – Leicester City (A)
√ 15 – Tottenham Hotspur (A)
√ 22 – Southampton (H)
√ 29 – Chelsea (A)
no wonder Fabinho anaedelea kufundishwa the Liverpool way of futbol, maana timu zote hizo ni ngumu kwetu itabidi kujipanga, hope hatutakua na majeraha pindi tunakutana na hao wote...
 
hii ndio inaitwa, Win ugly! ....brighton walikaza sana, tumepata points 3!...
Allison becker ni bonge la golikipa! ....saiv kipa tunae kwa kweli! .......
 
Virgil van Dijk has been involved in more Premier League clean sheets than any other player in the division since making his Liverpool debut in January.

• 17 games
• 10 clean sheets
• 9 goals conceded
 
Kiukweli Katika Kuona Huwa Wengi Tunatofautiana Utazamaji wetu Wa Mpira.
Lakini Mimi mwenzenu sijaona tatizo lolote jinsi tulivyocheza Leo.
Nilichoona Ni Kwamba Approach waliyokujanayo BHA sio ya kawaida tu.
tuko pamoja.
leo tumecheza kama EPL champions-elect.
 
Sijaona tatizo.
Modern game has changed so much.
Kipa sio tena kunyaka na kubutua au kuokoa kwa kupiga mpira mbele bila purpose yoyote.
Kipa ni extra man kwenye central defenders.
Nimemwelewa Pep kwa nini amemsajili yule mbrazil aliye nae sasa hivi.
As long as he’s confident with himself shwari tuu

Kuna delays anazifanya anapurudishiwa mpira, kuna siku itazaa goli na nadhani atajifunza.

Halafu VVD anamchezesha sana mpaka wanakaribia kuharibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom